Ya Gwajima na mbinu za kijasusi za blackmailing

Ya Gwajima na mbinu za kijasusi za blackmailing

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
16,991
Reaction score
63,001
Mara nyingi watu maarufu wenye ushawishi katika nchi mbalimbali taarifa zao za siri husakwa kwa udi na uvumba. Husakwa na maadui zao, husakwa na mashirika ya kijasusi.

Lengo huwa ni kuwaweka katika msitari, kuwablackmail pindi wakitaka kupata maslahi kutoka kwao.

Kwa upande wa mashirika ya kijasusi, wao hutafuta taarifa za watu influential ili kuwafanya wawe watiifu kwa mamlaka, la sivyo wanampiga mkwara kuwa ukisema su tunazivujisha taarifa zako!.

Miongoni mwa taarifa huwa ni matendo kama ya ushoga, kulala na watoto wadogo ( pedophilia), uzinzi nje ya ndoa etc.

Mtu unaweza kushangaa kwa nini Gwajima siku za hivi karibuni amekuwa mtu wa kusifusifu mamlaka, mtu wa kuonekanaonekana kwenye shughuli za utawala huu, mtu wa kujaribu kuusafisha utawala huu kwa kutumia star power yake ya uhubiri.

Sasa nimeanza kuelewa kwa nini Gwajima alipiga u-turn na kuanza kuwa mpiga zumari wa utawala uliomuita muuza ngada!. HUENDA GWAJIMA AMEKUWA COMPROMISED, Huenda Huenda System ina File lake Chafu na sasa mdogo mdogo wameanza kuuachia kutokana na sababu wanazozijua wao!

Huenda U-turn ya Gwajima ilitokana na wazee kuwa na information zake "chafu" ambazo walizitumia kumblacmail kwamba usipoendana na "sisi" tunavujisha mzigo mtandaoni, tutakuondolea credibility na tutakuharibia career.
Sasa sijui kama Gwajima alikosana au alitishia kwenda nje ya msitari, watu wameamua kumnyamazisha mazima!

Sasa shetani huwa hana rafiki, hata umtii kiasi gani, hata umfanye rafiki kiasi gani yeye anataka total obedience, hakumbuki uliyomtendea jana yeye anataka umtendee anavyotaka leo ,kesho na keshokutwa!. Ukitaka kujinasua tu unakuwa umegeuka adui yake!

Msione watu wako kimya mkadhani wanapenda kukaa kimya kwenye baadhi ya mambo, huenda kuna watu wana video zao chafu, wana picha zao chafu, wana documents zao za kuwamaliza!. Wanabaki kukaa kimya tu la sivyo watu wanazivujisha then inakula kwao!
 
Gwajima hajawahi kumsema vibaya jiwe, zaidi ya bashite, labda useme walitaka kumtumia akakataa, ila kwa hii post yako ina maana kwamba umehitimisha kuwa ile clip inayosambaa ni kweli.
 
Gwajima hajawahi kumsema vibaya jiwe, zaidi ya bashite, labda useme walitaka kumtumia akakataa, ila kwa hii post yako ina maana kwamba umehitimisha kuwa ile clip inayosambaa ni kweli.

Gwajima kutomsema vibaya dingi ilikuwa ni tactical move ya yeye kujilinda kutokana na nguvu ya cheo cha urais, lakini Ujue kuwa Bashite na dingi yake lao moja, ukimgusa Bashite wewe ni adui wa dingi, lazima ujue kuwa Bashite ana ambition ndefu huko mbeleni, bila kumdiscredit Gwajima juu ya madai yake ya vyeti feki ni doa lisilofutika kwa Bashite, kwa hiyo kama wana taarifa chafu za Gwajima lazima Gwajima awe blackmailed tu kumsafisha Bashite au kuimba Zumari kwa utawala la sivyo wamuadhibu mdogo mdogo, na hivi unavyoona picha limeanza.
Usije kushangaa huko Mbeleni Gwajima mbele ya Madhabahu au Press conference kumuomba msamaha Bashite kuwa taarifa alizozitoa zamani juu ya elimu yake "alikosea", "hakuwa na taarifa sahihi" etc
Kumbuka Career ya Bashite ya kisiasa iko mikononi mwa Gwajima kumsafisha!
 
Yote haya, ukijumlisha na mengi yaliyotokea tangia 2015, utaona kwamba tuna timu ya kutisha sana ambayo hatujawahi kuwa nayo.
Sijui yote haya kikomo chake kitakuwaje? Kila mtu kujisalimisha?
Machache ya kukumbusha tu tulikopitia hadi hapa tulipo:
1. watu kupotea tu, wasijulikane walipo
2. watu kutaka kuuliwa, nusra za akina Lissu, wengine kama akina Mawazo hawakuwa na bahati hiyo
3. watu kuwekwa ndani, hasa siku za Ijumaa jioni. Tulikuwa hatuelewi maana yake nini. Sasa kila mtu anajua
4. kama huingii ndani ya mstari, biashara zako zinavurugwa; Mbowe, na Waziri Mkuu mstaafu aliyenyang'anywa mashamba
5. watu kuambiwa sio raia wa nchi hii wanapoonekana kuwa kero. Twaweza hawawezi tena
6. mbinu za ajabu sana za kuwaweka wanapotakiwa kuwepo - unakamatwa na nyara za serikali, au una kabiriwa na kesi ya uhujumu uchumi. Unapewa 'option' tubu na utaachiwa kwa kukubali makosa na kutozwa faini na mahakama zilizofundishwa sheria mpya ambazo hazikutungwa na Bunge.

7. Bila shaka akina Mo siku moja watapata fursa ya kueleza kidogo wasityoweza kuyaeleza sasa hivi. Mambo ya ajabu sana ambayo hayawezi kutegemewa kufanywa na wanayoyafanya.
8. hata kama hili halihusiani na hayo mengine, lakini nalo linafaa kutajwa kwa u'uniqueness' wake. Inaweza kuchangia katika kujua baadhi ya haya mengine. Kukataa katakata kusafiri. Ni ajabu sana. Hii sio kupunguza matumizi tu. Kuna sababu nyingine.

Kuna uwezekano mkubwa pia kwamba akina Lema, licha ya kibano cha kuwekwa ndani kuna masharti ya ziada waliyopewa ili wapoe zaidi

Na vipi wale viongozi wa dini wote waliopewa semina baada ya zile Nyaraka? Kule kugeuka kulikotokea hakukuwa kwa kawaida. Inawezekana kila mmoja wao alipewa masharti asiyoweza kuyakataa?
 
Yote haya, ukijumlisha na mengi yaliyotokea tangia 2015, utaona kwamba tuna timu ya kutisha sana ambayo hatujawahi kuwa nayo.
Sijui yote haya kikomo chake kitakuwaje? Kila mtu kujisalimisha?
Machache ya kukumbusha tu tulikopitia hadi hapa tulipo:
1. watu kupotea tu, wasijulikane walipo
2. watu kutaka kuuliwa, nusra za akina Lissu, wengine kama akina Mawazo hawakuwa na bahati hiyo
3. watu kuwekwa ndani, hasa siku za Ijumaa jioni. Tulikuwa hatuelewi maana yake nini. Sasa kila mtu anajua
4. kama huingii ndani ya mstari, biashara zako zinavurugwa; Mbowe, na Waziri Mkuu mstaafu aliyenyang'anywa mashamba
5. watu kuambiwa sio raia wa nchi hii wanapoonekana kuwa kero. Twaweza hawawezi tena
6. mbinu za ajabu sana za kuwaweka wanapotakiwa kuwepo - unakamatwa na nyara za serikali, au una kabiriwa na kesi ya uhujumu uchumi. Unapewa 'option' tubu na utaachiwa kwa kukubali makosa na kutozwa faini na mahakama zilizofundishwa sheria mpya ambazo hazikutungwa na Bunge.

7. Bila shaka akina Mo siku moja watapata fursa ya kueleza kidogo wasityoweza kuyaeleza sasa hivi. Mambo ya ajabu sana ambayo hayawezi kutegemewa kufanywa na wanayoyafanya.
8. hata kama hili halihusiani na hayo mengine, lakini nalo linafaa kutajwa kwa u'uniqueness' wake. Inaweza kuchangia katika kujua baadhi ya haya mengine. Kukataa katakata kusafiri. Ni ajabu sana. Hii sio kupunguza matumizi tu. Kuna sababu nyingine.

Kuna uwezekano mkubwa pia kwamba akina Lema, licha ya kibano cha kuwekwa ndani kuna masharti ya ziada waliyopewa ili wapoe zaidi

Na vipi wale viongozi wa dini wote waliopewa semina baada ya zile Nyaraka? Kule kugeuka kulikotokea hakukuwa kwa kawaida. Inawezekana kila mmoja wao alipewa masharti asiyoweza kuyakataa?

Aisee umetema madini matupu, big up sana!
Kwenye huu utawala ukionekana kuleta kidomodomo hata kama ni haki yako ya Kikatiba unaminywa!

Unakumbuka ya Wema Sepetu?- Dada wa watu ilibidi arudi CCM huku akimsifia mno Bashite mtu aliyemuweka kwenye listi ya Ngada.

Masikini unakumbuka kuhusu Mzee Ngoyayi?- Mzee ilibidi ajisalimishe CCM maana ukoo uliwekwa pabaya mno kiuchumi

Unakumbuka ya Kakobe?- Masikini mzee wa watu ilibidi awe cheerleader!

Wakishakutumia kwa ajili ya PR stunt, umekwisha hawakuhitaji tena!

Heri ya Lissu aliyegoma kusujudia madhalimu!
 
I THINK ITS SOMETHING BEHIND...HUYU MTU MCHAFU SANA SIJAPATA KUONA(BASHITE)...

ATAKUJA KUDHALILIKA VIBAYA SANA YEYE NA BABA YAKE...
 
Swali ni je alirekodiwa kwa kulazimishwa au alijirekodi? Kama alijirekodi Kama inavyoonekana hakuna cha kumtetea wala jick ya kumsafisha, asitafutwe mchawi nani wakati mchawi ni yeye mwenyewe.

Hatumtetei, huenda watu walimsoma udhaifu wake wakamlia timing wakanasa video yake!

Bila shaka unajua udhaifu wa mwanaume ni nini!

Kaingia King watu wamekula kichwa, sasa credibility inashuka kwa kasi!
 
Asurubiwe tu hakuna namna
Hatumtetei, huenda watu walimsoma udhaifu wake wakamlia timing wakanasa video yake!

Bila shaka unajua udhaifu wa mwanaume ni nini!

Kaingia King watu wamekula kichwa, sasa credibility inashuka kwa kasi!
 
Tangu nione jinsi CAG anavyoshambuliwa na Serikali kwa jambo ambalo hana interest nalo binafsi, aseee nimeuogopa huu utawala unatisha sana
 
Jamani mbona mnaangaika mbona mtumishi ataamsha dude mwenyewe, labda niwaulize alipokuwa kitumia neno kuamsha dude mlimwelewaje? sasa dude limeamka si mtulie kwanini mnaaangaika hizo ndiyo ngoma zake.
 
Msione watu wako kimya mkadhani wanapenda kukaa kimya kwenye baadhi ya mambo, huenda kuna watu wana video zao chafu, wana picha zao chafu, wana documents zao za kuwamaliza!. Wanabaki kukaa kimya tu la sivyo watu wanazivujisha then inakula kwao!
It is called common logic. Why should you throw stones at others while you live in a glass house?
 
Back
Top Bottom