Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,198
- 162,745
Huu ni ujumbe kwa wapiga kura na watanzania wanaotafuta vyama vya kujiunga navyo baina ya CHADEMA na CCM.
Ukichagua ufisadi,wizi,ubadhirifu,uonevu,mauaji ya rai,kutozwa kodi za line ya simu,PAYE kandamizi, n.k basi rafiki yako ni Kaisari anaefanana na CCM na hivyo unapaswa kuchagua CCM.
Lakini kama wewe ni mtu wa kutetea wanyonge,kupinga dhuluma,uonevu,wizi,ufisadi na hata kupinga kodi ambazo ni mzigo kwa mwananchi hakika wewe ni kipenzi cha mungu na hivyo unastahili kuwa upande wa CHADEMA.
Tafakari ndugu!
Ukichagua ufisadi,wizi,ubadhirifu,uonevu,mauaji ya rai,kutozwa kodi za line ya simu,PAYE kandamizi, n.k basi rafiki yako ni Kaisari anaefanana na CCM na hivyo unapaswa kuchagua CCM.
Lakini kama wewe ni mtu wa kutetea wanyonge,kupinga dhuluma,uonevu,wizi,ufisadi na hata kupinga kodi ambazo ni mzigo kwa mwananchi hakika wewe ni kipenzi cha mungu na hivyo unastahili kuwa upande wa CHADEMA.
Tafakari ndugu!