BASIASI JF-Expert Member Joined Sep 20, 2010 Posts 9,732 Reaction score 5,010 Aug 25, 2013 #1 Mola tusaidie ulakucha mae kanyi Attachments grt4.jpg 13.9 KB · Views: 136
Gorgeousmimi JF-Expert Member Joined Jun 21, 2010 Posts 9,296 Reaction score 7,688 Aug 25, 2013 #2 Ni kweli kabisa uyasemayo hata nami nakubaliana nawe....
I innocent salehe Member Joined Aug 14, 2013 Posts 19 Reaction score 4 Aug 26, 2013 #3 yeah ni kweli ndugu lkn mwenyezi mungu s.w.a hawez kukuepusha kama we mwenyewe binafsi hujisaliii
CHAMVIGA JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 7,687 Reaction score 2,240 Aug 26, 2013 #4 innocent salehe said: yeah ni kweli ndugu lkn mwenyezi mungu s.w.a hawez kukuepusha kama we mwenyewe binafsi hujisaliii Click to expand... Wewe Mwenyezi Mungu sio s.a.w bali ni s.w
innocent salehe said: yeah ni kweli ndugu lkn mwenyezi mungu s.w.a hawez kukuepusha kama we mwenyewe binafsi hujisaliii Click to expand... Wewe Mwenyezi Mungu sio s.a.w bali ni s.w
Heaven on Earth JF-Expert Member Joined Mar 21, 2013 Posts 37,226 Reaction score 26,716 Aug 26, 2013 #5 innocent salehe said: yeah ni kweli ndugu lkn mwenyezi mungu s.w.a hawez kukuepusha kama we mwenyewe binafsi hujisaliii Click to expand... mmmhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
innocent salehe said: yeah ni kweli ndugu lkn mwenyezi mungu s.w.a hawez kukuepusha kama we mwenyewe binafsi hujisaliii Click to expand... mmmhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
CHAMVIGA JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 7,687 Reaction score 2,240 Aug 26, 2013 #6 BASIASI said: Mola tusaidie ulakucha mae kanyi Click to expand... Hakuna fitina kubwa kama fitina ya kiumbe huyu mas-hidajal, hakuna fitina nzito kama ya uhai na umauti. Mwenyezi Mungu atukinge na makubwa hayo. Hizi za wanadamu ni za tangunatangu.
BASIASI said: Mola tusaidie ulakucha mae kanyi Click to expand... Hakuna fitina kubwa kama fitina ya kiumbe huyu mas-hidajal, hakuna fitina nzito kama ya uhai na umauti. Mwenyezi Mungu atukinge na makubwa hayo. Hizi za wanadamu ni za tangunatangu.