Xiaomi Redmi 2 prime

Xiaomi Redmi 2 prime

Chief-Mkwawa tafadhali nisaidie namna ya kupata hii simu,(redmi 3)maana naona deogan amechemka

ila redmi note 3 ni better deal zaidi, sd 650 ni nzuri sana kwenye cpu na gpu inazipita hadi flagship za mwaka jana kama lg g4.

ila hata hio redmi 3 sio mbaya.

upatikanaji bado ni wa shida sababu ndo zimeanza kuuzwa china, si unajua xiaomi ataanza mambo yake ya flash sales kwanza kabla hazija enea. vuta subira kidogo
 
ila redmi note 3 ni better deal zaidi, sd 650 ni nzuri sana kwenye cpu na gpu inazipita hadi flagship za mwaka jana kama lg g4.

ila hata hio redmi 3 sio mbaya.

upatikanaji bado ni wa shida sababu ndo zimeanza kuuzwa china, si unajua xiaomi ataanza mambo yake ya flash sales kwanza kabla hazija enea. vuta subira kidogo
Nashukuru kwa kunisaidia maana bei ninazopata kwa sasa kutokana na uchache ni kubwa sana
 
Mkuu Chief-Mkwawa
Uhitaji wangu ni simu yenye 2gb ram,prosessor ya snapdragon ,16gb rom,camera nzuri na dual sim,nilikuwa naifuatilia galaxy a5 lakini badget yangu imepwaya kidogo.vp nitapata simu gani nzuri ya 400000 yenye sifa hizo hapo juu
 
Mkuu Chief-Mkwawa
Uhitaji wangu ni simu yenye 2gb ram,prosessor ya snapdragon ,16gb rom,camera nzuri na dual sim,nilikuwa naifuatilia galaxy a5 lakini badget yangu imepwaya kidogo.vp nitapata simu gani nzuri ya 400000 yenye sifa hizo hapo juu
Redmi 2 prime utapata kwa 340000
 
Ok,ni pm namba yako tufanye biashara mkuu
 
Nahitaji hiyo mkuu inaweza patikana na malipo ni baada ya kupokea mzigo? Nipo songea kwa sasa.
Mim ninayo..nimeagiza had kufika imeni cost kama lak 4 na 90,npe hela kidogo nkuachie na box, receipt yake na vtu vyake na ni gold color
 
Mim ninayo..nimeagiza had kufika imeni cost kama lak 4 na 90,npe hela kidogo nkuachie na box, receipt yake na vtu vyake na ni gold color
Ingekua silver au Gray tungefanya biashara.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom