C chiqquita Member Joined Jun 5, 2014 Posts 9 Reaction score 1 Jun 7, 2014 #21 ungelipa tu uepushe maneno...
Dark City JF-Expert Member Joined Oct 18, 2008 Posts 16,252 Reaction score 11,648 Jun 7, 2014 #22 Labda kuna kitu hujaweka wazi. Sijaona kitu kinachoitwa deni. Na kama msichana alitaka kutumia nguvu ya pesa kulinda penzi, basi wewe kaa kimya kabisa. Ikiwezekana mwelekeze kwa wakili mzuri ili awahi kufungua kesi!
Labda kuna kitu hujaweka wazi. Sijaona kitu kinachoitwa deni. Na kama msichana alitaka kutumia nguvu ya pesa kulinda penzi, basi wewe kaa kimya kabisa. Ikiwezekana mwelekeze kwa wakili mzuri ili awahi kufungua kesi!
muhomakilo jr JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 15,835 Reaction score 14,727 Jun 7, 2014 #23 Unapenda mlima kitonga dogo?,harafu mpenzi hujamfahamu kiundani ushamtambulisha kwa ndugu wote?,wengine unamega kimyakimya tena viwanja vya ugenini....
Unapenda mlima kitonga dogo?,harafu mpenzi hujamfahamu kiundani ushamtambulisha kwa ndugu wote?,wengine unamega kimyakimya tena viwanja vya ugenini....
Rahabu JF-Expert Member Joined Jan 21, 2014 Posts 5,527 Reaction score 3,344 Jun 7, 2014 #25 Hatoki m2 hapa
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,585 Jun 7, 2014 #26 Mlipe chake fasta haina ushauri dawa ya deni ni kulipa tu..