Anamsemo kuwa akishika mpira huwa anamfata adui, adui aikiwa anajiandaaa na kufikiria afanye nn yeye ashapita tayariKwa mimi Xavi ata wangekua watatu, hawanitishi kwakuwa akili ya xavi ni pass zaidi ila Iniesta huyu ni mtu hatari sana akiwa na mpira alafu anakuja golini kwako, maana anatizama pandezote na anatoa pasi, anauwezo wa kujitengenezea nafasi yeye mwenyewe na kufunga kwaujumla huwezi jua anatakakufanya nini.
Utakuwa mchawi kulinganisha xavi ineista na vitu vya ajabu hivyoMondric
Hatari sana mkuuWe nenda kawaulize waspain kwanini wanamuita Xavi "el maestro " unajua maana ya el maestro!? Katafute ujifunze ndo utajua zaidi.
Xavi alishawai kupiga pasi zaidi ya 280 kwenye game moja hivi na kwenye takwimu zikaonesha amepiga pasi zote kwa usahihi. Yaani pass acurracy ilikuwa 100% maana kila pasi iliyopigwa imefika kwa mtu.
Hatari saana!
XaviTumalize utata, unamkubali nani hapo kati ya hao mafundi wawili mahiri kuwahi kutokea katika akademi ya La Masia?
Kuwa na heshima mkuu, hao jamaa kweli walijaaliwa vipaji vyao lakini ni utovu wa nidhamu kumweka Ronaldinho level moja na hao kina Xavi na Iniesta.Nawakubari wote. Ila Mreta uzi umekosea bwana. Ungemweka na gaucho kwenye hiyo list mana ndio level moja wote hao watatu.
Kuwa na heshima mkuu, hao jamaa kweli walijaaliwa vipaji vyao lakini ni utovu wa nidhamu kumweka Ronaldinho level moja na hao kina Xavi na Iniesta.
Top 5 ipi ambayo ronaldinho hayupo unayoijua wewe mkuu sisi wengine tusiijue? Au mpira unafatilia peke yako?Cjaanza jana kufatilia mpila.ivyo gaucho namjua vizuli,,,,top 5 yenyewe hayumo,,sasa umpange level moja na Messi maradona na pele si ni vichekesho jamani! Ndio mana nkasema gaucho level yake hao wawili.
Top 5 ipi ambayo ronaldinho hayupo unayoijua wewe mkuu sisi wengine tusiijue? Au mpira unafatilia peke yako?