Hizi nyuzi nyingine?
wakuu,kuna hiki kisa cha ajabu,haka kademu nilikua nako kipindi tu nimeingia ubatani,kisha nilikaacha kwa ajili ya mizinguo ya wazazi wake nikaendelea na mitikasi yangu ya kusaka maisha.tulikua tunapendana sana na bado tunapendana toka tuachane,na huwa siku zote tunawasiliana vizuri tu,sasa leo kameleta mpya,kwamba jamaa kaliyekuwa naye baada ya mimi kukatosa naye amekaumiza kiaina,sasa sijui kamemfumania au vipi?sasa hapa kanataka kuniingiza mkenge nikamchape jamaa kisha ndio kakubali kunisamehe turudiane,wakuu bahati mbaya sina njaa ya wachumba ila tu napenda kuwa karibu na haka kabinti,hapa mtegoni kwamba nikamfyatue jamaa hilo halitawezekana,ebu naombeni ushauri nifanyeje hapo au nimshauri vp huyu x wangu?maana nakaonea huruma sana na nakapenda sana,yaani mpaka najiuliza ingekua bongo huyo jamaa kwakweli angekua pabaya,sio huku
Huu uzi unafaa kushonea sweta (kule iringa kwetu wanasema 'gusweta'!
Kigoma tunaita 'busweta'
BTW ma wii, nimeona sehemu umetumia neno 'kusonsomola' ni la wapi hilo neno? Iringa, Mwanza au?
wakuu,kuna hiki kisa cha ajabu,haka kademu nilikua nako kipindi tu nimeingia ubatani,kisha nilikaacha kwa ajili ya mizinguo ya wazazi wake nikaendelea na mitikasi yangu ya kusaka maisha.tulikua tunapendana sana na bado tunapendana toka tuachane,na huwa siku zote tunawasiliana vizuri tu,sasa leo kameleta mpya,kwamba jamaa kaliyekuwa naye baada ya mimi kukatosa naye amekaumiza kiaina,sasa sijui kamemfumania au vipi?sasa hapa kanataka kuniingiza mkenge nikamchape jamaa kisha ndio kakubali kunisamehe turudiane,wakuu bahati mbaya sina njaa ya wachumba ila tu napenda kuwa karibu na haka kabinti,hapa mtegoni kwamba nikamfyatue jamaa hilo halitawezekana,ebu naombeni ushauri nifanyeje hapo au nimshauri vp huyu x wangu?maana nakaonea huruma sana na nakapenda sana,yaani mpaka najiuliza ingekua bongo huyo jamaa kwakweli angekua pabaya,sio huku
hizo rangi hapo juu ni majibu tosha nainaonekana unakatongoza tena halafu unasema huna njaa ya mademu..
mkuu nimesema nilikatema sababu ya dharau za wazazi wake walikua wakabila mno na walikuwa wanaingilia sana uhusiano wetuAcha ujinga, kama kweli ulikapenda kwanini ulikatema? Stori yako imekaa kizushi zaidi
tusipoandika uzi jf haitakuwepowewe mleta uzi ni mtu mzima kabisa, hakukuwa na haja ya kuandika huu uzi! server inakua overloaded kwa vitu ambavyo havina maana kabisa..
sheria ndugu,bongo unachapa kisha obey unakata supu unatokayaani mpaka najiuliza ingekua bongo huyo jamaa kwakweli angekua pabaya,sio huku
Huko uliko huwa wanafanyeje?umejaribu kuwaomba ushauri?
Ushasema huna njaa ya wachumba na pia huwezi pigana kwa ajili ya shori..sasa ushauri gani tena unataka??
umesema sahihi,halafu naweza akienda halafu akapigwa yeye atasemaje sijui
mkuu nimesema nilikatema sababu ya dharau za wazazi wake walikua wakabila mno na walikuwa wanaingilia sana uhusiano wetu
wakuu,kuna hiki kisa cha ajabu,haka kademu nilikua nako kipindi tu nimeingia ubatani,kisha nilikaacha kwa ajili ya mizinguo ya wazazi wake nikaendelea na mitikasi yangu ya kusaka maisha.tulikua tunapendana sana na bado tunapendana toka tuachane,na huwa siku zote tunawasiliana vizuri tu,sasa leo kameleta mpya,kwamba jamaa kaliyekuwa naye baada ya mimi kukatosa naye amekaumiza kiaina,sasa sijui kamemfumania au vipi?sasa hapa kanataka kuniingiza mkenge nikamchape jamaa kisha ndio kakubali kunisamehe turudiane,wakuu bahati mbaya sina njaa ya wachumba ila tu napenda kuwa karibu na haka kabinti,hapa mtegoni kwamba nikamfyatue jamaa hilo halitawezekana,ebu naombeni ushauri nifanyeje hapo au nimshauri vp huyu x wangu?maana nakaonea huruma sana na nakapenda sana,yaani mpaka najiuliza ingekua bongo huyo jamaa kwakweli angekua pabaya,sio huku