gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 13,030
- 16,047
- Thread starter
-
- #21
Miaka kumi ijayo nitakua kwenye 50s,sitoweza kwenda kwa kasi yao,ntajitafutia shida za moyo kwa kusaka vijana waliosimamia ukucha kwa mke wanguInamaana hawa watoto waliomaliza shule juzi uko hamna?
Kubwa sana hili, hujui tuJambo dogo kama hili unaleta humu mkuu
Alikua na demand nyingi enzi za ujana,yaani hakosi fiesta, motorola ya kufunua,lakini wazungu wanadai 'over time, people change'Nina hakika zipo sababu za msingi zilizokufanya usimuoe huyo X. Je, sababu hizo kwa sasa bado zipo au zimepotea? Endapo bado zipo tafadhali kaa chonjo. Usije ukawa unasukumwa na tamaa za ngono au upweke ukajikuta unaoa, halafu baadaye ukaja kujuta.
We tanzika tu ila huyo sio mwanamke wa kuoaUnaongeza mtanziko
Wakuu,nipo kwenye 40s,mke wangu alitangulia mbele za haki,nina watoto watatu,mkubwa yupo la saba
Sasa huko ujanani nilikua na hawara,kwa kweli mzuri kuliko marehemu mke wangu ambaye ni huyo kwenye avatar, kwenye ufundi yule hawara ni fundi haswa
Tatizo ni dada wa mjini,yupo salon,na ashakua na mahusiano tofauti mengi tu,sasa nadhani kachoka kuishi peke yake,ananisihi tufunge ndoa,tulete na ngulu mbili kama watatu hivi ndani ya miaka kumi ijayo
Kinachonikwaza ni kinyaa,idadi ya wamba walioshindilia mitarimbo kwenye tundu lake takatifu, tofauti na hapo najua hakuna hatari yoyote kwa wanangu, ukizingatia roho mbaya za wanawake kwa watoto wa kufikia..na kulala peke yangu nimechoka
In reality they never change,lakini wazungu wanadai 'over time, people change
Yupo kwenye 35,hajabadilika kweli!?.. maana juzi nimeona maimartha Jesse kumbe kaolewa,kama mai kaolewa kweli huyu hawezi change!?.. nasikia wanakuwaga wamenyooka,full heshima na mahabaIn reality they never change,
Akishakutia mkononi atakushangaza sana
Binti mdogo atanisumbua siku si nyingiUsioe huyo mwanamke mkuu, ukitaka kufa mapema umfuate mkeo na uwaache hao watoto yatima basi muoe huyo mwanamke. Wanawake wa salooni ni pasua kichwa, hapo anatafuta pa kuponea achana naye huyo..
Kwa hali yako nakushauri usioe mwanamke msomi au mwenye mambo mengi, tafuta binti mdogo wa kijijini awe mama wa nyumbani tu akulee wewe na hao wanao
Ushauri wangu.Alikua na demand nyingi enzi za ujana,yaani hakosi fiesta, motorola ya kufunua,lakini wazungu wanadai 'over time, people change'
Binti mdogo atanisumbua siku si nyingi
Eti mshangazi uliokubuhu π π , Tony usitutafute maneno mashangazi.Ushauri wangu.
Tafuta "wife material" mwingine wa kuoa. Achana na mashangazi ya mjini. Huyo X wako ashakuwa mshangazi aliyekubuhu!
cc; Mshangazi Mshangazi dot com
sijamaliza Uzi miaka 40 huna na ni uongo lkn km kweli unayo basi Anza kuomba msamaha kwa wenzio wenye age km yako maana unawaaibishaWakuu,nipo kwenye 40s,mke wangu alitangulia mbele za haki,nina watoto watatu,mkubwa yupo la saba
Sasa huko ujanani nilikua na hawara,kwa kweli mzuri kuliko marehemu mke wangu ambaye ni huyo kwenye avatar, kwenye ufundi yule hawara ni fundi haswa
Tatizo ni dada wa mjini,yupo salon,na ashakua na mahusiano tofauti mengi tu,sasa nadhani kachoka kuishi peke yake,ananisihi tufunge ndoa,tulete na ngulu mbili kama watatu hivi ndani ya miaka kumi ijayo
Kinachonikwaza ni kinyaa,idadi ya wamba walioshindilia mitarimbo kwenye tundu lake takatifu, tofauti na hapo najua hakuna hatari yoyote kwa wanangu, ukizingatia roho mbaya za wanawake kwa watoto wa kufikia..na kulala peke yangu nimechoka
Unaona miaka 40 mingi sana siyo!!?.. endelea kucheza mapiano ghafla 40 hiisijamaliza Uzi miaka 40 huna na ni uongo lkn km kweli unayo basi Anza kuomba msamaha kwa wenzio wenye age km yako maana unawaaibisha
Mimi siyo sanaEti mshangazi uliokubuhu π π , Tony usitutafute maneno mashangazi.
gallow bird wewe oa pale ambapo roho inapenda, hicho kinyaa cha hao aliowapitisha kwenye kitundu chake mbona kawaida tu na wewe si umesuuza rungu lako kwenye matundu mengine pia, au?
Ishapita miezi 18 tangu wife atangulieAuko serious wewe sikilizia ata miezi kadhaa ipite