Yaani hakujui/Hamjuani alafu ndani ya siku tatu mmeshapanga hadi aje mkoa wako, ndani ya siku tatu hadi analia machozi kwa wivu? Anakusumbua hadi unazima simu? Na unadai umeshamkataza? Hivi vyote ni ndani ya siku tatu tu?
Aaaah Baba Twende kazi hapo umezidi aisee, turudishie chenji aisee
ahahahhahMh, kabinti kamekupenda ila hakajaonana nawe, kana wivu juu yako,eti unakazimia simu lakini kanaendelea tu kupiga na kukutumia sms (sijui kana kupateje hapo_
Kabintikanataka kuja mkoa ulipo, eti kanalia!
Aisee.hako katakuwa Ka. Wema Sepetu.
Kama sio Ka BwaBwa!
Kaimbie " Mi nataka kesho,twende ukamwone mama x2"(wa Diamond Platinum)
ahahahahahah..nimekuelewa..watu mna vituko jf.haya mambo yapo,ila huyo binti amekuwa kama desperate.kama kweli hauna interest nae,dawa ni kutokupokea simu na uendelee kumpa makavu live.ukiona bado usipokee simu zake atapiga mwisho atachoka.vibinti vyengine vina ny.ege za ajabu ajabu