huyo unayemtaka ameshaolewa na hiyo njema iliyokumbatia ngoja nikutafutie mwingine ile sampuli kama hiyo hapo maana me naenda sana Rwanda kwa mwaka Zaidi ya mara 4Akiwepo mtu mwenye connection aseme nimpe namba![]()
For God sake huyo aliyepiga naye picha ni kaka ake kabisaaa...Huyo kaka ndo anaoa mwaka huu,na huyo dada aliyekuwa mchumba wake alifariki kwenye ile ajali,Hopefully atakuwa amekwishapata mbadala wake..Jaribu bahati yako mfate facebook anaitwa Sara Uwera jaribu kumuomba namba...Kila la kherihuyo unayemtaka ameshaolewa na hiyo njema iliyokumbatia ngoja nikutafutie mwingine ile sampuli kama hiyo hapo maana me naenda sana Rwanda kwa mwaka Zaidi ya mara 4
Yeah nimejaribu kumfuatilia kwa karibu.. Uyo jamaa naambiwa ni pacha ake not mumewe...hata ukiitizama picha they look alikeFor God sake huyo aliyepiga naye picha ni kaka ake kabisaaa...Huyo kaka ndo anaoa mwaka huu,na huyo dada aliyekuwa mchumba wake alifariki kwenye ile ajali,Hopefully atakuwa amekwishapata mbadala wake..Jaribu bahati yako mfate facebook anaitwa Sara Uwera jaribu kumuomba namba...Kila la kheri

yeah...Blood relatives kabisaaaYeah nimejaribu kumfuatilia kwa karibu.. Uyo jamaa naambiwa ni pacha ake not mumewe...hata ukiitizama picha they look alike![]()
Hahaa wanasema wabongo wape picha tu stori watatunga wenyewe....ona sasa watu wanavyofanya conclusion za ajabuFor God sake huyo aliyepiga naye picha ni kaka ake kabisaaa...Huyo kaka ndo anaoa mwaka huu,na huyo dada aliyekuwa mchumba wake alifariki kwenye ile ajali,Hopefully atakuwa amekwishapata mbadala wake..Jaribu bahati yako mfate facebook anaitwa Sara Uwera jaribu kumuomba namba...Kila la kheri
in short you are very rightHakuna kitu kwamba ushapita au ndo prejudice?
Ushawahi kuskia "kipenda roho?"![]()
Ndo yeye mkuuSi ndio huyu wameimba kwetu pazuri.....ama wanafanana fanana