Wote wezi kwenye mapenzi, yanini kuchunguzana?

Wote wezi kwenye mapenzi, yanini kuchunguzana?

sangwine

Senior Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
144
Reaction score
45
Tangu mpenzi wangu kupangiwa kazi ya ualimu Mpwapwa Dodoma hiyo mwezi wa pili nimekuwa mpweke kupita kiasi kwani hata mawasiliano yamepoa hadi nahisi kuibiwa penzi huko aliko.

Juzi kati nimetema madini kwa demu mmoja akakubali pamoja na ukweli nilimwambia kuwa mtu wangu yupo Dodoma nae akaniambia kuwa ana mtu wake.
Chakushangaza tangu tumeanza mahusiano nae amekuwa akinifatilia na kunihoji maswali mengi pindi simu yangu iwapo buzy.

Anahesabu kwaninini nampigia mara moja au mbili. Ukichelewa kujibu sms tatizo, sasa wadau hii ni halali kufuatiliwa kiasi hicho na mwanamke ambaye ana mtu wake?
 
nadhan kaelewa mipasho yko xo far anataka kutema goma lake la zaman. km vp fungua mipaka mwananch ale uhondo, otherwise alikudanganya kam ana m2 wakt hana huyo kasema vle coz we ulideclare km una king'ast chko pand za dom
 
Wa dodoma na huyo mwenzie na wewe na huyo ulomtemea madini mbona timu imekamilika bado kocha tuu
 
Mbona mnakashda nyingi na haya mapenz watu?

No luv no folofolo....
 
Tangu mpenzi wangu kupangiwa kazi ya ualimu Mpwapwa Dodoma hiyo mwezi wa pili nimekuwa mpweke kupita kiasi kwani hata mawasiliano yamepoa hadi nahisi kuibiwa penzi huko aliko.

Juzi kati nimetema madini kwa demu mmoja akakubali pamoja na ukweli nilimwambia kuwa mtu wangu yupo Dodoma nae akaniambia kuwa ana mtu wake.
Chakushangaza tangu tumeanza mahusiano nae amekuwa akinifatilia na kunihoji maswali mengi pindi simu yangu iwapo buzy.

Anahesabu kwaninini nampigia mara moja au mbili. Ukichelewa kujibu sms tatizo, sasa wadau hii ni halali kufuatiliwa kiasi hicho na mwanamke ambaye ana mtu wake?

Unavuna ulichopanda
 
Back
Top Bottom