Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,109
- 53,625
Komaa hivyohivyo kamanda usiiangalie. Sasa imegeuka kuwa Tv ya CCM. Ukweli ndo huo.
Wala sio uCCM ila wana vipindi vilivyopitwa na wakati
Komaa hivyohivyo kamanda usiiangalie. Sasa imegeuka kuwa Tv ya CCM. Ukweli ndo huo.
Wala sio uCCM ila wana vipindi vilivyopitwa na wakati
Kama vipi gani?