World most famous people with their QUOTES from their great SPEECHES

c686d0dc068cf90a954814e37f48a7fe.jpg
 
Mtu akifikili na kutenda mabaya juu yako,ama kwa hila na chuki haisababishi MUNGU akakuacha.atajinyanyua na kukutetea
By me

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
"Ukifanya fujo, umeambiwa usifanye hiki ukaamua wewe kukaidi, utapigwa tu. Maana-maana hakuna namna nyingine, err..; maana-maana lazima tukubaliane kwamba nchi hii inaongozwa kwa misingi ya kisheria. Sasa kama wewe hutaki kwa kuwa wewe unajiona ni jeuri zaidi, au ni imara sana, hutaki, utapigwa tu na mimi nasema wawapige tu maana hakuna namna nyingine, err..; maana-maana tumechoka sasa, err..."


M.K.P.Pinda

Ila alikuwa sahihi maana alisema kwa kui-qualify kuwa "ukifanya fujo, umeambiwa usifanye hiki ukaamua wewe kukaidi utapigwa tu"

Kwa hiyo kumbe kupigwa Kwako kutatokana na kukaidi kwako.
 
1; Mtu mjanja anapambana ili kuyashinda matatizo, lakini mtu mwenye akili huyaepuka. _Albert Eisten
2; Napenda kutembea kwenye mvua kwa sababu hakuna atakayeniona nikiwa nalia. _Charlie Chaplin
3; Unapoongea, unakua unarudia kutamka kile ambacho unakijua, lakini unaposikiliza, unajifunza kitu kipya. _Dalai Lama
4; Ukitaka kwenda haraka nenda mwenyewe, ila ukitaka kwenda mbali nenda na watu_
5; Washindi hushinda kwanza ndipo wanaenda vitani, wanaoshindwa huenda vitani ili kuutafuta ushindi. _Napoleon Bornapate
6; Usiombe ili upate maisha marahisi, omba upate nguvu na uwezo wa kupambana na maisha magumu. _Bruce Lee
7;Kama haufanyi unachokipenda, unapoteza muda. _Albert Eisten
8; Siku moja utaamka na kuanza kujuta kwa kushindwa kufanya vitu ambavyo unatamani na unaweza kuvifanya sasa. _Paulo Coelho
9;Inahitajika nguvu ya ziada kuweza kufanya vitu ambavyo vinaonekana ni vya hatari, la sivyo mapenzi yanakutosha kuona umefanya na umepata kila kitu. _Charlie Chaplin
10; Anguka mara saba, ya nane unyanyuke.By me
 
"Laiti Mwanadamu angepewa Majabali mawili ya Dhahabu basi angelitaka na la tatu"

"Hajapatapo Mwanadamu kujaza chombo kibaya kama anapojaza tumbo lake"

"Kila Mwanadamu ni Mkosefu, na mbora kati ya Wakosefu ni yule mwenye Kutubia"
Prophet Muhammad (S.A.W)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom