Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,070
Ila faulo alizochezewa Rodriguez hazikua za kitoto? Brazil na refa wao waliyataka haya wenyeweee, Rodriguez kila akishika mpira hasa kipindi cha kwanza anakutana na daruga za Fernandinho na Silva ila kirefa kama hakioni vile na Rodriguez ndio mchezaji bora wa mashindano haya mpaka match ya jana lakini hakupata protection ya aina yeyote kutoka kwa refa
Huyo mtoto mlaini kaguswa kidogo na WC imeisha. Mnachokoza ugomvi na hamjui kukwepa wala kurusha makonde?! Sasa jiandaeni na kiboko cha mkoloni, hakuna Silva, hakuna Naima
Sijaunga mkono faulo yoyote mkuu
Kuhusu Rodriguez kuwa mchezaji bora 100% am in too he is a super hero
Silva kutokuwepo game ijayo sawa Brazil italega kidogo sababu itabidi awepo Dante. Kutokuwepo kwa Neymar ndo wakati bora kwa Bernard kucheza na ku-show what he got
German hawezi isumbua Brazil mkuu, Colombia ndiyo ilikuwa inanipa hofu kwa hii stage we are going final, we carry the cup
#teamBrazil we are the champ