World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Ila faulo alizochezewa Rodriguez hazikua za kitoto? Brazil na refa wao waliyataka haya wenyeweee, Rodriguez kila akishika mpira hasa kipindi cha kwanza anakutana na daruga za Fernandinho na Silva ila kirefa kama hakioni vile na Rodriguez ndio mchezaji bora wa mashindano haya mpaka match ya jana lakini hakupata protection ya aina yeyote kutoka kwa refa
Huyo mtoto mlaini kaguswa kidogo na WC imeisha. Mnachokoza ugomvi na hamjui kukwepa wala kurusha makonde?! Sasa jiandaeni na kiboko cha mkoloni, hakuna Silva, hakuna Naima

Sijaunga mkono faulo yoyote mkuu

Kuhusu Rodriguez kuwa mchezaji bora 100% am in too he is a super hero

Silva kutokuwepo game ijayo sawa Brazil italega kidogo sababu itabidi awepo Dante. Kutokuwepo kwa Neymar ndo wakati bora kwa Bernard kucheza na ku-show what he got

German hawezi isumbua Brazil mkuu, Colombia ndiyo ilikuwa inanipa hofu kwa hii stage we are going final, we carry the cup
#teamBrazil we are the champ
 
Ila faulo alizochezewa Rodriguez hazikua za kitoto? Brazil na refa wao waliyataka haya wenyeweee, Rodriguez kila akishika mpira hasa kipindi cha kwanza anakutana na daruga za Fernandinho na Silva ila kirefa kama hakioni vile na Rodriguez ndio mchezaji bora wa mashindano haya mpaka match ya jana lakini hakupata protection ya aina yeyote kutoka kwa refa
Huyo mtoto mlaini kaguswa kidogo na WC imeisha. Mnachokoza ugomvi na hamjui kukwepa wala kurusha makonde?! Sasa jiandaeni na kiboko cha mkoloni, hakuna Silva, hakuna Naima

Sijaunga mkono faulo yoyote mkuu
 
Brazil hawataifunga ujerumani kwa staili ile wanayocheza. Mimi nathani ni bora watoke tu;wasilisushe soka la brazil


The king.
 
#TeamArgentina, mie ngoja niwe mkweli tu, teams zote zilizobaki nataka sana #TeamBrazil ndio ichukue ubingwa na timu ambayo nisingependa ichukue ubingwa ni #TeamGermany.

Yaani Argentina leo akitolewa sijui ntaliaje??,nitasikitika kuliko hata timu za Africa zilipotolewa
 
Sijaunga mkono faulo yoyote mkuu

Kuhusu Rodriguez kuwa mchezaji bora 100% am in too he is a super hero

Silva kutokuwepo game ijayo sawa Brazil italega kidogo sababu itabidi awepo Dante. Kutokuwepo kwa Neymar ndo wakati bora kwa Bernard kucheza na ku-show what he got

German hawezi isumbua Brazil mkuu, Colombia ndiyo ilikuwa inanipa hofu kwa hii stage we are going final, we carry the cup
#teamBrazil we are the champ

Asante kwa maelezo mazurii mkuu.
 
Ubelgiji leo wanaweza waishangaze dunia.Argentina sio wazuri kuliko belgium kwa jinsi nilivyowaona.


Tunavyosonga mbele ndivyo timu zinavyoimarika na kucheza kiteam zaidi.

Agentina ni wazuri kwa wabeleji nakuhakikishia wabeleji watafunga vilago usiku waleo
 
Sijaunga mkono faulo yoyote mkuu

Kuhusu Rodriguez kuwa mchezaji bora 100% am in too he is a super hero

Silva kutokuwepo game ijayo sawa Brazil italega kidogo sababu itabidi awepo Dante. Kutokuwepo kwa Neymar ndo wakati bora kwa Bernard kucheza na ku-show what he got

German hawezi isumbua Brazil mkuu, Colombia ndiyo ilikuwa inanipa hofu kwa hii stage we are going final, we carry the cup
#teamBrazil we are the champ

Keep on dreaming!
 
#TeamArgentina, mie ngoja niwe mkweli tu, teams zote zilizobaki nataka sana #TeamBrazil ndio ichukue ubingwa na timu ambayo nisingependa ichukue ubingwa ni #TeamGermany.

Basi usichotaka ndicho kitakachotokea, Brazil hii ya kubebwa na marefa itahitaji miujiza kukwepa mijeledi ya Mkoloni
 
​Ila ujue #TeamBrazil can step up and steal the show from Germans.

Sure, why not?
Lakini so far sijaona kiwango wala lile samba la kibrazil kuniconvince otherwise, team inacheza ikimtegemea sana Neymar, huruma za marefa na undava kama jana
Ujerumani so far wamequalify kutoka kwenye kundi gumu na wamekutana na mitahani miwili mitatu mpaka sasa, lakini wameweza kuhold their nerves na kupata matokeo bila kutumia dark arts kama Brazil
 
Basi usichotaka ndicho kitakachotokea, Brazil hii ya kubebwa na marefa itahitaji miujiza kukwepa mijeledi ya Mkoloni

TAWILE, kale kaashura sijui neema kanadeka mno bora kapumzike tutazame soka la wakubwa, mi natamani timu yoyote ibebe lkn sio Brazil japo ndio wanaovaa rangi bora zaidi ya jezi kupata kutokea.
 
​Let's wait and see what will happen this Tuesday, it won't be easy but it can be done.

Sure, why not?
Lakini so far sijaona kiwango wala lile samba la kibrazil kuniconvince otherwise, team inacheza ikimtegemea sana Neymar, huruma za marefa na undava kama jana
Ujerumani so far wamequalify kutoka kwenye kundi gumu na wamekutana na mitahani miwili mitatu mpaka sasa, lakini wameweza kuhold their nerves na kupata matokeo bila kutumia dark arts kama Brazil
 
Sure, why not?
Lakini so far sijaona kiwango wala lile samba la kibrazil kuniconvince otherwise, team inacheza ikimtegemea sana Neymar, huruma za marefa na undava kama jana
Ujerumani so far wamequalify kutoka kwenye kundi gumu na wamekutana na mitahani miwili mitatu mpaka sasa, lakini wameweza kuhold their nerves na kupata matokeo bila kutumia dark arts kama Brazil


Mkuu hoja ya kubebwa brazil unaitowa wapi? hebu usilete siasa kwenye soccer mkuu. hili neno umelirudia mara kadhaa.

Tumeshuhudia Chile wakipiga buti na howard kuwabana brazil kimtindo mpaka matuta, mbona chile hakupita?

tumeshuhudia mchezo wa jana wakasi viatu nk, nasasa Neyma kavunjwa mgongo, katikati brazil walipa yelow na hata wapinzani wao.

Hakuna kitu cha kuzusha bwana ile soccer hukuitazama peke yako, tumetazama wote.

Tujitahidi kuwa wakweli, timu zilizohujumiwa na marefa ni zakwetu afrika, rafu ndogo tu kadi nk.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom