World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Watajidai eti hawana soka la kuvutia kama the deadly looser tick taka soccer ya Spain

mfano Chile na Costa Rica walivyosumbua utakapo wakuta unaweza cheka

Wakichemka kwenye rank mpya bora Blatter ajiuzulu tu

List wanapanga wao, hawezi kujiuzulu
 
Tanesco wapuuzi sana...Prof Muhongo wewe ni muongo? You promised haya hayatakuwepo tena- kulikoni?
 
Fifa hawaamini ushindi wa Costa Rica kwa mechi zao,juzi walipoifunga Italy mechi ilipoisha wakaenda kuwapima wachezaji wa Costa Rica ili wajue kama walitumia madawa ya kuongeza nguvu yaani hawaamini

wanasahau kuwa mashindano yapo kwenye ukanda wao, hali ya hewa wanaimudu tangu walipozaliwa.
 
Origi awa Jaluo (Kenyan) la kwanza kufunga goli kwenye World cup finals
 
Roy Hodgson has admitted he is pleased to have received assurances about his future from FA chairman Greg Dyke.
 
Kituko kingine hiki

BqwG85QCMAAT1ar.jpg
 
Line up mechi inayofuatia

South Korea: Jung, Yun, Kim, Son, Park, Lee, Koo, Han, Ki, C. Lee, Hong

Algeria: Mbolhi, Bouguerra, Halliche, Mesbah, Feghouli, Brahimi, Medjani, Slimani, Bentaleb, Djabou, Mandi
 
3 - All three Belgian goals at WC have been scored by substitutes.
 
Back
Top Bottom