Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,753
Nilifurahi sana Suarez alipodaka mpira mwaka 2010 na kuizuia Ghana.
Nilifurahi zaidi yule mkata mauno alipokosa penalty.
Hope leo Suarez ataendeleza furaha yangu kwa kuwakalisha England.
huyu Suarez nilimchukia sana nilimchukia kuliko kitu chochote kipindi kile...
yaan kumbe kuna wengine mlifurahia