Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Hii free kick ndo goli Neymar hakosi hapa
naona mexico wamekuja na strategy ya kupiga mashuti ya mbali tu....wanamtaabisha julio ceaser!!!
Robo fainali hawafiki.Yani wamekawia mno kupigwa nataka wasifike hata robo fainali
Hii free kick ndo goli Neymar hakosi hapa
hahahaaah,,,,,,,,,huwa hakosi kweli.
Mexico nawapenda sana, kwanini wasishinde tu?
Leo neima ana shughuli pevu
Kobe Bryant naye anapenda soccer kumbe, namuona yupo uwanjani
Huyu Kipa Wa Mexico nouma!
Mexico nawapenda sana, kwanini wasishinde tu?