Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Hakukua na haja ya ku-suspend timu,timu ingevunjwa tu yote huku wakianza kujipanga upya bila kuwa na usiasa.walichokifanya sasa ni usiasa na ndio maana FIFA wana wafungia.
Lets play for them
Ghana 2 - Uruguay 0
itakuwa hvo ghana watashinda 2-0labda inawezekana...
Maswali mengine bwana mbona game iko wazi Uruguay 2 Ghana 0
BRAZIL na URUGUAY wanaaga mashindano rasmi leo (hili halina mjadala kabisa, hata FIFA wanaelewa)