Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Mmh,ngoja niwasikilizie wadada wanasemaje.
yani atakama huduma ulonipa mbaya yet nikupigie tena ili iweje no kama customer care yako ilikuwa nzuri u will have ma call
yani atakama huduma ulonipa mbaya yet nikupigie tena ili iweje no kama customer care yako ilikuwa nzuri u will have ma call
Kama zoezi lilienda vema, kila mmoja akafika anakotakiwa kufika, the chance is both of them will want to be the first to call back for appreciation.
exactly, so hakuna mwenye liability kwamba inabidi yeye ndo apige au sio mkuuu..this is how it ought to be[/QUOTE]
noted with appreciation B!!!
noted with appreciation B!!!
dah, B tena nilikuwa nakufikira sasa hivi nikasema mbona sikuoni huku tangu asubuhi? morning B!
thanks B kwa kunikumbuka!! Morning my sweet B!! mbona hivo lakini........its been ages ujue!!!
acha niendelee kuhesabu siku tu sasa mpaka kwaresma iishe.
Women in Jf,educate us men on the things you like in bed with a man.
Secondly why is that a woman will feel bad if a man doesn't call her the next day after first sex?Kwani what is the big deal with this?Ebu tufafanulieni.
Mlachake!
What Exactly made you to come up with with this Question? Kwanza unatuuliza tunataka nini kitandani then unauliza kwanini tunataka kupigiwa simu baada ya mchezo!! nimepata kapicha kwa mbaaali. yaani haya yamekukuta. au naongopa man?
aaah jamani B! worry not kwa nini hadi kwaresma! nitaku-surprise very soon!
waiting!!!
kwa nini mtu usijiskie vibaya kama hujapata feed back bwana.......sasa hii ni kwa wote B au sio ila sema nani aanze kumpa feedback mwenzie hiyo nayo issue......
yeah, mwanzoni mwanzoni nadhani I gave my perspective on this B! ni two way traffic..ukiniwahi asb haya, nikikuwahi haya...its just mutual..tatizo ukisema unategemea mwanaume afanye ivo ujue utashinda rohoinauma kumbe wala yeye hajuagi mambo hayo sio kwamba hakufurahi ila hajui kiuwa anapaswa kuspice things up that way B! ah
this is not a kitchen party floor!! Sawa?
1. nimependa sana Signature yako!
2.Do you take women For one night ride? I gues yes as per your Thread!
3.What I would want you to give me i Bed will differ From another Woman.
I really like a man who would Handle me softly. Yaani usitumie nguvu katika jambo lolote from Holding to the action itself.
Mwanaume ambaye anatoa sauti za kimahaba wakati wa.....
A man ho takes a shower after every .....
Mwanaume asiyefikia kabla yangu. Keep on asking me if am nearby!!
A man who will listen to my directions on where to hold me.
On the issue of calling or not calling has to do mostly with one night ride!!!!
Upo hapo kijana?