Mr Q JF-Expert Member Joined Aug 16, 2012 Posts 20,988 Reaction score 46,689 Nov 14, 2013 #2 hahaha. Hiyo nayo kali
bysange JF-Expert Member Joined Jan 11, 2011 Posts 4,456 Reaction score 1,565 Nov 14, 2013 #3 Wanapaki magari vizuri maana mengine ya melala mengine yanafanya mazoezi eeee hawa sijui wawapi lol!
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Nov 14, 2013 #4 duh, kuna ishara yyte kwamba ni women hapo?
C cleopha Member Joined Nov 4, 2013 Posts 8 Reaction score 2 Nov 14, 2013 #5 Mbon hamna sura ya mwanamke mnasingizia
C cleopha Member Joined Nov 4, 2013 Posts 8 Reaction score 2 Nov 14, 2013 #6 Alafu wanawake wako makini sana na magari coz wanaogopa ajali mbaya
peri JF-Expert Member Joined Mar 22, 2011 Posts 2,579 Reaction score 1,168 Nov 14, 2013 #7 yanaselebuka, yamesha pata ulabu.
happiness win JF-Expert Member Joined Aug 30, 2011 Posts 2,461 Reaction score 1,394 Nov 14, 2013 #8 penye ukweli uongo hujitenga. kati wa wanawake na wanaume nani yuko na driving makini? acheni hizo vidume nyie eboooooo!
penye ukweli uongo hujitenga. kati wa wanawake na wanaume nani yuko na driving makini? acheni hizo vidume nyie eboooooo!
Washawasha JF-Expert Member Joined Aug 7, 2006 Posts 16,948 Reaction score 13,378 Nov 15, 2013 #9 walipata ulabu nini? Nalog off
C ChiefmTz JF-Expert Member Joined Apr 15, 2008 Posts 2,942 Reaction score 951 Nov 15, 2013 #10 Amavubi said: duh, kuna ishara yyte kwamba ni women hapo? Click to expand... Haikuhuuu!!
P phill JF-Expert Member Joined May 25, 2011 Posts 1,364 Reaction score 620 Nov 15, 2013 #11 Naamini ghadafi hakuwa mjinga kuwa tumia hawa mama zetu ,acha kupotosha