Woman love Risk Takers

Kwa kifupi sana elewa ivi mademu unaowapata au ulionao ni matunda ya risk unazochukua na ndio type iyo specific na mngine atapata wale ambao wako attractive na risk zake pia.
Kitu ambacho hujui mwanamke hajui nin anataka, una risk unamnunulia gari mziba pancha anakuja kujilia kilaini usipoteze mda kutaka kujua Wanawake wanataka nin
 
Kitu ambacho hujui mwanamke hajui nin anataka, una risk unamnunulia gari mziba pancha anakuja kujilia kilaini usipoteze mda kutaka kujua Wanawake wanataka nin
Kwa akili za mtoa mada ni rahisi ata kizurumu wanaume wenzake katika mishe mishe ilimradi akavimbe kwa demu wake kwamba ni risk takers aogopi kitu
 
Kujitutumua kutakupongeza note hii kitu mkuu
Sijui uelewa wako uko wapi? Sijasema ufanye chochote sababu ya mwanamke, nilichosema una attract wanawake wa aina flani kutokana na risk unayofanya cha msingi ukitaka kupata wa aina tofauti badilisha risks unazopitia full stop.
 
Yeah mzee baba! Kuishi kumuimpress mtu ni jau sana
 
Kwa akili za mtoa mada ni rahisi ata kizurumu wanaume wenzake katika mishe mishe ilimradi akavimbe kwa demu wake kwamba ni risk takers aogopi kitu
Ana upeo mdogo na ni bado kijana mdogo kwa hiyo usimshangae
Wanawake ni kuishi nao kiakili ndo siri ya kudumu nao na sio kuwa risk takers
 
Kitu ambacho hujui mwanamke hajui nin anataka, una risk unamnunulia gari mziba pancha anakuja kujilia kilaini usipoteze mda kutaka kujua Wanawake wanataka nin
Tafuta hela acha izi porojo umeshajiuliza maisha bila jinsia ya pili ingekuwaje? Usitake kuniaminisha tunaishi wenyewe na either you like or not utahudumia tu
 
Ana upeo mdogo na ni bado kijana mdogo kwa hiyo usimshangae
Wanawake ni kuishi nao kiakili ndo siri ya kudumu nao na sio kuwa risk takers
Kuna wengine wanataka kuishi nao kiroho ndo maana wanatafuta walokole.....
 
Tafuta hela acha izi porojo umeshajiuliza maisha bila jinsia ya pili ingekuwaje? Usitake kuniaminisha tunaishi wenyewe na either you like or not utahudumia tu
Unavyosema nitafute ela nilishakuja kukulia shida mbona unatoka nje ya mada we ni mdogo Kuna vitu huvijui
Matajiri ndoa zao hajizudumu mfano ni bill gates na Kuna maskini ndoa zao zinadumu

Mwanamke kuishi naye ni akili na sio utajiri ukikua utajua we bado mdogo
 
Ana upeo mdogo na ni bado kijana mdogo kwa hiyo usimshangae
Wanawake ni kuishi nao kiakili ndo siri ya kudumu nao na sio kuwa risk takers
Kama umeshindwa kuelewa content ya nilichoandika ni kipimo tosha uelewa wako unatatizo kubwa sana na hupo tayari kuelewa bado.
 
Mimi sijakasirika ila natumia njia zangu mwenyewe ku deal na nyie viumbe, miongoni mwa njia hizo siyo kujibebesha gunia la misumari......kama unajibebisha hutaki kula ugali dagaa, sepa niendelee na mishe nyingine.
Be romantic kwa mrembo wako mkuu, ubabe hata haufai
 

Masculinity=Muscles? Nimegundua hujui unachoongea..
 
Uko sahii ndo maana kumpata mwanamke kukaitwa approach, sababu kila mwanamke anavitu vyake anavyopenda huyu anapenda hiki yule kile Sasa mtoa Uzi amegeneralize ndo hapo anapoonekana bado ni mtoto
 
Rudi kwa professor Peterson sikiliza lecture zake vizuri ndo uje uandike hapa,, usikurupuke
 
Kama umeshindwa kuelewa content ya nilichoandika ni kipimo tosha uelewa wako unatatizo kubwa sana na hupo tayari kuelewa bado.
We ni bado dogo janja unataka kuleta drama za kwenye tamthilia kwenye real life utafeli
 
Uko sahii ndo maana kumpata mwanamke kukaitwa approach, sababu kila mwanamke anavitu vyake anavyopenda huyu anapenda hiki yule kile Sasa mtoa Uzi amegeneralize ndo hapo anapoonekana bado ni mtoto
Nime generalize tena na nimekuwa specific kwenye risk takers..

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Na ww umeshindwa kujua maana ya masculinity,, sio physical entirely, but its forcing your way in,, sio by knocking the door politely but entirely out of hinges,, in a hustling way lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…