asikudanganye mtu wengi hatushobokei pesa ila tunaamini unatafuta utapata ukikaa tu ukijikuna unatoka vumbi maisha yote hakika una hatari sana! mwenye pesa akifanya mabaya utavumilia kidogo ila mnuka vumbi akizingua unasepa kabla jua kuchomoza , likichomoza vitaminD unapatia kwingine! " a cry in a boda boda is not equal to a cry in a Range rover"