Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,725
- 29,087
Mzuka wanajamvi!
Mechi ya jana usiku ya premier league Uingereza Kati ya Wolverhampton vs Manchester united ilikuwa bonge la mechi.
Cha kusikitisha Wolves hakuibuka kidedea ilifungwa goli moja kwa bila na Mani licha ya kucheza vizuri kwa kushambulia kulinda na kukaba
Wolves pia katikati walidhibiti vilivyo na kufanikiwa pakubwa sana kuwadhibiti mani wasipenye.
Wolves walistahili kushinda ile mechi.
Cha kusimumua zaidi mechi ilivyokuwa inaendelea pia kulikuwa na mjadala mzuri sana jamvin kwenye jukwaa la sport kwenye uzi wa Manchester united.
Michango ya wanajamvi ilijaa nondo za kutosha na madini yalijitosheleza.
Nilipendezwa na mchango wa Mkorea. Yani alitabiri vizuri na ikatokea.👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿
Mechi ya jana usiku ya premier league Uingereza Kati ya Wolverhampton vs Manchester united ilikuwa bonge la mechi.
Cha kusikitisha Wolves hakuibuka kidedea ilifungwa goli moja kwa bila na Mani licha ya kucheza vizuri kwa kushambulia kulinda na kukaba
Wolves pia katikati walidhibiti vilivyo na kufanikiwa pakubwa sana kuwadhibiti mani wasipenye.
Wolves walistahili kushinda ile mechi.
Cha kusimumua zaidi mechi ilivyokuwa inaendelea pia kulikuwa na mjadala mzuri sana jamvin kwenye jukwaa la sport kwenye uzi wa Manchester united.
Michango ya wanajamvi ilijaa nondo za kutosha na madini yalijitosheleza.
Nilipendezwa na mchango wa Mkorea. Yani alitabiri vizuri na ikatokea.👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿