Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,209
- 42,071
Nawasalimu wadau
Jamani nimecheki event ya wema ni noma sijui pesa anapata wapi ila ni noma.
Wolper na muuza unga wake hana lolote, kakalia hicho kigari, jpkate kuvaa miguo myeusi, na sintah hana hata la kumsema.
Wema kweli nilikuwa nakuona ***** bt management ya Kadinda imekubadili, fanya mambo ya maendeleo hii migubegube ya mjini iache iendelee.
kweli wema ni noma, hivi pesa ana pata wapi maana nimeona anafanya interview na zamaradi kwenye bonge la nyumba.
Ile nyumba ni yake?