Jt jr
Senior Member
- Feb 3, 2012
- 181
- 57
Habarini ndugu zangu,
Jamani huu mtandao wa voda kulikoni?Juzi niliweka vocha ya 500 wakalamba 100, data zote ziko off.
Sikuwapigia sababu nilikuwa bize. Sasa jana kuna mtu kanipa nimwekee vocha ya jero then nimuunganishe, ile kumuunga naambiwa huna salio la kutosha, kucheki wamekata 100.
The same today jamaa kaweka jero kuunga eti salio halitoshi.
Sasa naomba watuambie hizi mia mia za watanzania masikini wanazipeleka wapi na kwanini?
Mbaya zaidi siku hizi hakuna kifurushi cha chini ya 500 cha dakika. Kwa hiyo wakikata hiyo mia unalazimika kununua vocha ya jero ili hata ile 400 isiibiwe.
Ndugu zangu huu wizi nimechoka, nahamia IST!
Nawasilisha.
Jamani huu mtandao wa voda kulikoni?Juzi niliweka vocha ya 500 wakalamba 100, data zote ziko off.
Sikuwapigia sababu nilikuwa bize. Sasa jana kuna mtu kanipa nimwekee vocha ya jero then nimuunganishe, ile kumuunga naambiwa huna salio la kutosha, kucheki wamekata 100.
The same today jamaa kaweka jero kuunga eti salio halitoshi.
Sasa naomba watuambie hizi mia mia za watanzania masikini wanazipeleka wapi na kwanini?
Mbaya zaidi siku hizi hakuna kifurushi cha chini ya 500 cha dakika. Kwa hiyo wakikata hiyo mia unalazimika kununua vocha ya jero ili hata ile 400 isiibiwe.
Ndugu zangu huu wizi nimechoka, nahamia IST!
Nawasilisha.