Wizi wa pes Mix by YAS

Wizi wa pes Mix by YAS

Mangi Mlay

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2016
Posts
5,743
Reaction score
7,087
Imeshangasha Pesa imeweza kuhamishwa kutola kwenye namba yangu ya YAS bila mimi kujua au kuona meseji.
Imenishangaza kwasababu nimeigundua baada ya kuangalia statement kwenye Yas app na kuona nimetuma hela mara tatu kiasi cha laki 3 kwa watu nisiyowafahamu.
Hakuna msaada kutoka Yas wanasema nichukue hatua za kisheria.
Huenda technolojia imekuwa zaidi au pesa zetu haziko salama kwenye mitandao.
Kama watu wanaweza kuhamisha pesa kutoka kwenye simu hii ni hatari sana
Simu yangu ninakaa nayo mwenyewe na hakuna aliyeishika kwakuwa ina password ya fingerprint.
 
Imeshangasha Pesa imeweza kuhamishwa kutola kwenye namba yangu ya YAS bila mimi kujua au kuona meseji.
Imenishangaza kwasababu nimeigundua baada ya kuangalia statement kwenye Yas app na kuona nimetuma hela mara tatu kiasi cha laki 3 kwa watu nisiyowafahamu.
Hakuna msaada kutoka Yas wanasema nichukue hatua za kisheria.
Huenda technolojia imekuwa zaidi au pesa zetu haziko salama kwenye mitandao.
Kama watu wanaweza kuhamisha pesa kutoka kwenye simu hii ni hatari sana
Simu yangu ninakaa nayo mwenyewe na hakuna aliyeishika kwakuwa ina password ya fingerprint.
Pole sema wew kuna mtu wako hapo nyumbani ndio kakupiga
 
Imeshangasha Pesa imeweza kuhamishwa kutola kwenye namba yangu ya YAS bila mimi kujua au kuona meseji.
Imenishangaza kwasababu nimeigundua baada ya kuangalia statement kwenye Yas app na kuona nimetuma hela mara tatu kiasi cha laki 3 kwa watu nisiyowafahamu.
Hakuna msaada kutoka Yas wanasema nichukue hatua za kisheria.
Huenda technolojia imekuwa zaidi au pesa zetu haziko salama kwenye mitandao.
Kama watu wanaweza kuhamisha pesa kutoka kwenye simu hii ni hatari sana
Simu yangu ninakaa nayo mwenyewe na hakuna aliyeishika kwakuwa ina password ya fingerprint.
Pole sana mkuu
Huo ni mtandao wa hovyo kabisa hapa nnchini. Hata wale wa. TUMA KWA NAMBAA HII ni wana connection na Yas naweza kuthibitisha
Juzi nilinunua umeme nikaambiwa nadaiwa NIVUSHE jambo ambalo siyo kweli.
Jana nilinunua VOCHA ikakatwa ati nadaiwa jambo ambalo siyo kweli na ukipiga customer care mlolongo ni mrefu sana. Naitumia namba yao KUPOKELEA SIMU TU wakwende zao huko mix mix wezi wakubwa hawa TIGO
 
Tafuta mwanasheria mzuri ila asiwe kilaza kama wale wa serikali utashindwa asbhi kabla jua halijachomoza.
 
Ninaposema hakuna namaanisha hakuna, mimi ninaishi peke yangu na simu yangu haiingiliki.
Kuna mchezo unachezwa kwasababu wote waliotumiwa hela tayari namba zao hazipatikani
Wew fanya mpango nenda kwenye ofisi za yas wakupe maelezo ela imeenda wap na sangap?.hiyo ela ni yingi sana usiache upotee tu bora upoteze muda tuu
 
Wew fanya mpango nenda kwenye ofisi za yas wakupe maelezo ela imeenda wap na sangap?.hiyo ela ni yingi sana usiache upotee tu bora upoteze muda tuu
Nimeenda hawana la kunisaidia wameniambia hela ilikoenda ila wamesema nifuate utaratibu wa kisheria kuanzia Polisi
 
Christmas haukuja kuchinja mangi... Uve kweshinja hata maralimi kwa mwaka msero 😊
 
Nimeenda hawana la kunisaidia wameniambia hela ilikoenda ila wamesema nifuate utaratibu wa kisheria kuanzia Polisi
Daaah! Polisi hapo kuna mzunguko sema nenda tu.lakn mzunguko utakuwa ni mkubwa sana
 
Back
Top Bottom