Huo ni upuuzi hakuna kuibia mke au mme, kama ni hivyo angeripoti kubakwa. Hii ni starehe wamepeana kwa kuridhiana, ukiweza deal na huyo mtu wako maana it takes two to tango. Ubebe mastress kwa mtu mwingine na unae wa kudeal nae, ukishafika kiwango hicho....dont push too much ni bora kusepa zako.
Huu ni ujinga ulioje