Habari wakuu,
Kuna wizi wa kimtandao unafanywa na watu wenye nia ya kutapeli watu.
Leo nimepigiwa simu na mtu mwenye namba hizo hapo juu, bahati nzuri sikuwa namsikia vizuri nikamwambia atume ujumbe wa maneno (sms),
View attachment 503813
Nilipo usoma huo ujumbe , machale yakanicheza, nikastuka kuwa anataka kuniibia .
Wakuu kuweni makini.