ASIE NA MAKUU
Member
- Aug 10, 2021
- 45
- 66
Hakika tunapitia kipindi kigumu ,yaani kila siku afadhali ya jana.
Vifurushi vinapanda kila muda hadi nashindwa kuelewa majukumu ya TCRA .
Nimenunua kifurushi cha voda tena cha chuo haya ndio nimekutana nayo
Vifurushi vinapanda kila muda hadi nashindwa kuelewa majukumu ya TCRA .
Nimenunua kifurushi cha voda tena cha chuo haya ndio nimekutana nayo