BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 5,104
- 14,029
Recently Kuna majaribio mawili ya wizi wa Magari ya Transit yametokea katikati ya Iringa na Makambako jaribio la kwanza ni gari Toyota Mark X ambalo limefanikiwa na dereva bado yupo kituo cha polisi na jaribio la pili ni Toyota Landcruiser Prado hii mission ilikuwa failed hili lilitokea mchana ndio maana ikashindikana.
Nini kinatokea mamlaka zilipiga marufuku gari za IT kubeba abiria madereva wengi wa IT wameamia kwenye mizigo ili kuweza kupata pesa za ziada.
Wanachofanya wezi wa Magari ni kujifanya wanajeshi kwa kuvaa full sale za jeshi na kuomba lift kwenye gari za IT kuwa wanaelekea kambini makambako kwa makubaliono ya kulipa nauli madereva wengi wanachukulia kama advantage ya kuepuka usumbufu wa trafiki road.
Hawa wajomba wakifika sehemu za maporini wanaanza kukupiga na kukunyanganya gari kisha wanafunga plate namba za gari wanasepa
Hiyo ndio Mark X waliyofanikiwa kukimbia nayo
Nini kinatokea mamlaka zilipiga marufuku gari za IT kubeba abiria madereva wengi wa IT wameamia kwenye mizigo ili kuweza kupata pesa za ziada.
Wanachofanya wezi wa Magari ni kujifanya wanajeshi kwa kuvaa full sale za jeshi na kuomba lift kwenye gari za IT kuwa wanaelekea kambini makambako kwa makubaliono ya kulipa nauli madereva wengi wanachukulia kama advantage ya kuepuka usumbufu wa trafiki road.
Hawa wajomba wakifika sehemu za maporini wanaanza kukupiga na kukunyanganya gari kisha wanafunga plate namba za gari wanasepa
Hiyo ndio Mark X waliyofanikiwa kukimbia nayo