Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Hii habari imenifikia kwa njia ya simu namba 0714350462 kutoka kwa mdau wangu wa karibu toka Arumeru mashariki. Yalikamatwa na vijana hodari wa CDM kwenye gari lililokuwa limebeba ndizi. Baada ya kulishuku na kulisimamisha ndipo waliokuwemo kwenye gari wakatimua mbiyo kuelekea vichakani. Mpaka sasa gari lipo kituo cha polisi. habari zaidi na picha zitakujia punde! Kaa mkao wa kupata habari!
Happy April 01 day
Happy April 01 day