Wambandwa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2006
- 2,249
- 833
Ukinunua internet bundle kutoka Tigo pesa kwenda kwenye Tigo moderm ujue utakuwa! Hupati huduma kwa masaa 24 ukinunua package kwa siku Ni baada ya saa moja na nusu utaambiwa umenakiwa na Mb 5 na kuanzia hapo net inakata!
Mbaya zaidi ukiwapigia customer service hawapokei simu yako zaidi ya ule ujumbe uliorekodiwa ukikujulisha simu yako inashughulikiwa. Huu Ni wizi, nalipia huduma nisiyopata 100%!
Mbaya zaidi ukiwapigia customer service hawapokei simu yako zaidi ya ule ujumbe uliorekodiwa ukikujulisha simu yako inashughulikiwa. Huu Ni wizi, nalipia huduma nisiyopata 100%!