Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,547
- 2,194
Wana Jf Mimi ni mtumiaji mzuri wa Airtel Tanzania, Internet na Simu vyote natumia Airtel,
Rejea tangazo lao la ukipiga dk 2 za mwanzo baada ya hapo wanakukata sent kumi, kwanza nimepiga simu kwa dk 4 na Sek 57 na wamenikata Tsh 787, nkashituka ila nkachukulia poa may b nimeunganisha bila kukata.
Nkapiga tena simu kwa muda wa dk 8 sek 46 then wakanikata Tsh 1247, jamani ebu wanaofahamu Hii promo wanayotangaza inamaana gani kama makato yenyewe hayana formula? Kama wanabisha watrace no yangu inaishia na ...808844.
Kuanzia leo nimeamini kuwa Airtel si wakweli na matapeli, wapo kwa ajili ya kutuibia na sio vinginevyo.
Naomba kuwasilisha.
Rejea tangazo lao la ukipiga dk 2 za mwanzo baada ya hapo wanakukata sent kumi, kwanza nimepiga simu kwa dk 4 na Sek 57 na wamenikata Tsh 787, nkashituka ila nkachukulia poa may b nimeunganisha bila kukata.
Nkapiga tena simu kwa muda wa dk 8 sek 46 then wakanikata Tsh 1247, jamani ebu wanaofahamu Hii promo wanayotangaza inamaana gani kama makato yenyewe hayana formula? Kama wanabisha watrace no yangu inaishia na ...808844.
Kuanzia leo nimeamini kuwa Airtel si wakweli na matapeli, wapo kwa ajili ya kutuibia na sio vinginevyo.
Naomba kuwasilisha.