Huu ni Ushahidi wa Wizi unaofanywa na Kampuni ya Simu ya Airtel

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,652
14,247
Nmekuwa nikilalamika sana kuhusiana na wizi tunaofanyiwa na makampuni ya Simu. Leo tena nmeunganishwa kwenye huduma ambayo sijawah iomba na sijui hata inaombwaje.

Si hivyo tu ni kuwa hata ingekuwa ni bure nisingejiunga. Hii text hapa.
IMG_20180711_154313_323.JPG

Huu ni wizi kwa sababu kwanza mimi sijaomba kuungwa huduma hiyo.

Pili tayari wamesha conclude kuwa watanitaka tsh100 daily ambayo kwa mwezi ni tsh 3000 je wakifanya hivi kwa watu 100,000 watakuwa na tsh ngap kwa mwezi?

Hawa airtel ni wezi kama wezi wengine wanaopatikana sehemu tofauti tofauti. Nmewapigia simu na nikawaomba wanioneshe muda gan nmejiunga wameishia tu kusema watashughulikia malalamiko yangu. Ila jambo hili si mara ya kwanza wao kunifanyia, tigo na voda pia walishawahi nifanyia uhuni kama huu kwa huduma zao nyingine
 
Hahahaha,
Hiyo michezo hata Voda wanaifanya sana.
Halotel nimepima kwenye vifurushi vya mtandao wanaiba sana.
 
Line ya tigo nishaivunjilia mbali kitambo kutokana na ujinga huo kwa kuunganishwa kwenye huduma ambayo hujaiomba
 
Haloteli ni wezi wezi mijizi mnooo.unajiunga mb 300 ukipeluzi jf ndani ya lisaa kwishney bando.
Hahahahaha inabidi TCRA iwamulike bwana!
Juzi nilinunua GB kama sita hivi nikaka nazo masaa mawili na kushusha movie kadhaa zikaisha.
Nilicheka kichizi jinsi yalivyo majizi...
 
Cha kusikitisha niliwashinda Tigo kwenye kesi niliyoifungua lakini nikalipwa fidia ndogo Sana aiseee, Nina wasi wasi mkubwa Sana baadhi ya watu wa TCRA wana ukaribu usio faida...... Hawasimamii upande wa Consumer, nilipeleka evidence zote za makato lakini bado haki haikutendeka.
 
Nmekuwa nikilalamika sana kuhusiana na wizi tunaofanyiwa na makampuni ya Simu. Leo tena nmeunganishwa kwenye huduma ambayo sijawah iomba na sijui hata inaombwaje.

Si hivyo tu ni kuwa hata ingekuwa ni bure nisingejiunga. Hii text hapa.
View attachment 807357
Huu ni wizi kwa sababu kwanza mimi sijaomba kuungwa huduma hiyo.

Pili tayari wamesha conclude kuwa watanitaka tsh100 daily ambayo kwa mwezi ni tsh 3000 je wakifanya hivi kwa watu 100,000 watakuwa na tsh ngap kwa mwezi?

Hawa airtel ni wezi kama wezi wengine wanaopatikana sehemu tofauti tofauti. Nmewapigia simu na nikawaomba wanioneshe muda gan nmejiunga wameishia tu kusema watashughulikia malalamiko yangu. Ila jambo hili si mara ya kwanza wao kunifanyia, tigo na voda pia walishawahi nifanyia uhuni kama huu kwa huduma zao nyingine

Inaweza kua tu ni tatizo kidogo la kiufundi: mm nlishafungiwaga mawasiliano kabisa kwa siku mbili ila ilikua ni tatizo la kiufundi, wanaooperate ni humans pia:
sio rahisi waje kwenye conclusion wamefanya maksudi because wanaoperate customers wengi sana so ni swala la kurekebisha tu
 
Back
Top Bottom