Wizi Mpya Vodacom M-pesa

Wizi Mpya Vodacom M-pesa

Majaribu2013

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
952
Reaction score
1,050
Hii nchi hata kama imeuzwa imefikia kubaya. Sasa Mpesa wamekuja na huu wizi mbaya kabisa. Kwenye simu yako unasalio la Mpesa tuchukue mfano Tshs 500,000/= Unataka kutoa Tshs 100,000/= Watakujibu hivi:-

Samahani salio lako halitoshi kutoa Tshs 100,000/= salio lako ni Tshs 500,000/=

Ni zaidi ya kichefuchefu.

Kama kuna mtu anaweza kunisaidia tuwafungulie kesi mahakani hawa washenzi wamenirisha hasara kubwa sana kwa huu upumbavu wao.


 
Nchi na vilivyomo ilishapigwa bei kitaaaaambo! Vodda iS the biaaaatch!
 
Wanataka uombe kule customer care ili ukitoa 100000/= wao wajilambie hiyo 400000/= iliyobaki kiulainiii. Jamani Tz tumepigika hata hatusikii uchungu tena.
 
Mkuu hii ni Kero kero...yani Vodacom wanatupeleka watakavyo..nashangaa sana..km leo wamenifanyia uhuni huohuo..mleta hoja nimemuelewa kuna haja ya kuishtaki Voda.
 
Wanataka uombe kule customer care ili ukitoa 100000/= wao wajilambie hiyo 400000/= iliyobaki kiulainiii. Jamani Tz tumepigika hata hatusikii uchungu tena.

Natamani nipate mtaaalam niwashitaki.
 
Mkuu hii ni Kero kero...yani Vodacom wanatupeleka watakavyo..nashangaa sana..km leo wamenifanyia uhuni huohuo..mleta hoja nimemuelewa kuna haja uaishtaki Voda.

Kwahali hii ndiyo maana watu wanaingiaga barabarani bila shida kabisa. Maana ni upumbavu wa hali ya juu huu
 
Hii nchi hata kama imeuzwa imefikia kubaya. Sasa Mpesa wamekuja na huu wizi mbaya kabisa. Kwenye simu yako unasalio la Mpesa tuchukue mfano Tshs 500,000/= Unataka kutoa Tshs 100,000/= Watakujibu hivi:-

Samahani salio lako halitoshi kutoa Tshs 100,000/= salio lako ni Tshs 500,000/=

Ni zaidi ya kichefuchefu.

Kama kuna mtu anaweza kunisaidia tuwafungulie kesi mahakani hawa washenzi wamenirisha hasara kubwa sana kwa huu upumbavu wao.



Wezi siyo Vodacom kama Kampuni kk,wezi wazuri ni watanzania walioajiriwa wanaosuka mpango wa kuhujumu kampuni na inapowezekana kuwaliza watanzania wenzao,Hata mm niliwahi kuumia sana na kuamua kufanya uchunguzi wangu kimya kimya,tunaumizana sisi wenyewe kwa wenyewe tena bila aibu wala huruma.:whip:
 
Mkuu kuna kiwango ambacho mteja anaruhusiwa kufanya miamala kwa siku jaribu kuulizia uko katika kiwango gani kabla ya kutokwa na matusi.
 
Iko unachosema wala si kweli,,itakuwa laini yako hujaipandisha,,uenda mwisho WA muamala kwa laini yako kwa siku Ni milioni,,sasa kiasi unachotaka kutuma kinazidi muamala wako kwa siku,,mi sasaivi hapa nimemtumia mtu milioni mbili Na imeenda Na kwenye simu imebakia M.2.5...voda Ni mtandao bora Na salama kwa hp tz,,,aswa kwetu sisi wafanyabiashara wa Kati.
 
Hii nchi hata kama imeuzwa imefikia kubaya. Sasa Mpesa wamekuja na huu wizi mbaya kabisa. Kwenye simu yako unasalio la Mpesa tuchukue mfano Tshs 500,000/= Unataka kutoa Tshs 100,000/= Watakujibu hivi:-

Samahani salio lako halitoshi kutoa Tshs 100,000/= salio lako ni Tshs 500,000/=

Ni zaidi ya kichefuchefu.

Kama kuna mtu anaweza kunisaidia tuwafungulie kesi mahakani hawa washenzi wamenirisha hasara kubwa sana kwa huu upumbavu wao.



imenikuta mkuu hata mimi
 
Tumia tu akili! Sometimes text hutangulia Kabla transfer kukamilika.... Huu sio Wizi hata Kidogo



Hii nchi hata kama imeuzwa imefikia kubaya. Sasa Mpesa wamekuja na huu wizi mbaya kabisa. Kwenye simu yako unasalio la Mpesa tuchukue mfano Tshs 500,000/= Unataka kutoa Tshs 100,000/= Watakujibu hivi:-

Samahani salio lako halitoshi kutoa Tshs 100,000/= salio lako ni Tshs 500,000/=

Ni zaidi ya kichefuchefu.

Kama kuna mtu anaweza kunisaidia tuwafungulie kesi mahakani hawa washenzi wamenirisha hasara kubwa sana kwa huu upumbavu wao.


 
Iko unachosema wala si kweli,,itakuwa laini yako hujaipandisha,,uenda mwisho WA muamala kwa laini yako kwa siku Ni milioni,,sasa kiasi unachotaka kutuma kinazidi muamala wako kwa siku,,mi sasaivi hapa nimemtumia mtu milioni mbili Na imeenda Na kwenye simu imebakia M.2.5...voda Ni mtandao bora Na salama kwa hp tz,,,aswa kwetu sisi wafanyabiashara wa Kati.

haki ya mungu tena wewe jamaa ni muhaya
 
ukinilipa million 5 za kitanzania nakwenda kufungua kesi na niamini mimi tunashinda hiyo kesi easy kabisa wallah tena
 
Iko unachosema wala si kweli,,itakuwa laini yako hujaipandisha,,uenda mwisho WA muamala kwa laini yako kwa siku Ni milioni,,sasa kiasi unachotaka kutuma kinazidi muamala wako kwa siku,,mi sasaivi hapa nimemtumia mtu milioni mbili Na imeenda Na kwenye simu imebakia M.2.5...voda Ni mtandao bora Na salama kwa hp tz,,,aswa kwetu sisi wafanyabiashara wa Kati.
Jamani mimi nilikuwa natoa laki moja imegeukaje tena kufika huko kwenye masuala ya limit? tumieni akili basi. Na simimi tu
 
Back
Top Bottom