Mkuu una miliki Gari tuanzie hapo, na ulishaenda kuweka mafuta mara ngapi, na sight mirror kazi gani, au hilo Gari umenunuliwa na Shemeji au mumeo kwa hiyo huna haja ya kufuata matumizi sahihi yaliyopo kwenye vifaa vya gari. Kama umemiliki gari au ni Dereva WA muda huwezi kuibiwa kishamba namna hii. Cha kwanza utaangalia kwenye mashine kama kaandika kiasi sahihi ulichosema then utaangalia kupitia sight mirror kinachoendelea. Hakuna mtu mjinga WA kuibiwa namna hii.