Wizi kila kona, watanzania kazi wanayo

tamuuuuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
22,189
Reaction score
29,748
Kila kona wizi,huko mwalimu Nyerere watoto wamepata 100% ya mkopo na ada wanalipiwa yote ila wameambiwa lazima walipe ada ya awali.

Wamefanya medical examination za uhakika huko walikotoka lakini wamefika chuo wanaambiwa walipe hela chuoni then fomu tu inajazwa bila vipimo.

Aloo hili li-nchi hovyo hovyoooooo
 
Kuna mambo yanafanyika unabaki na maswali ambayo hujui umuulize nani
Mfano Mimi watoto wangu Wana bima ya matibabu ila walipojiunga chuo walilazimishwa kulipia NHIF la sivyo unaambiwa hujakamilisha usajili
 
Kuna mambo yanafanyika unabaki na maswali ambayo hujui umuulize nani
Mfano Mimi watoto wangu Wana bima ya matibabu ila walipojiunga chuo walilazimishwa kulipia NHIF la sivyo unaambiwa hujakamilisha usajili
Vitu kama hivi vinashangaza sana sana.Pia vinaumiza watanzania mno.
 
Kuna mambo yanafanyika unabaki na maswali ambayo hujui umuulize nani
Mfano Mimi watoto wangu Wana bima ya matibabu ila walipojiunga chuo walilazimishwa kulipia NHIF la sivyo unaambiwa hujakamilisha usajili
Chuo gani?
 
Suluhisho ni kujiua tu commit suicide kuwakomoa na kuwaachia linchi lao watawale milele.

adriz de Mafwele
 
Morals zinaanzia juu, ukiwa na mtu unamuita kiongozi ila hana morals huwezi kuwa na taifa linalojielewa, kila mtu atajifanyia anavyojua coz nani wa kumkanya mwenzake?
 
Nchi yetu imejaza mapimbi kila idara unategemea nini?

Wacha watunyooshe tu sisi kwa sisi hatujimbui
Watunyooshe sana mpaka akili zikae sawa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…