chazi piere
Senior Member
- Jun 12, 2016
- 121
- 65
Mwezi uliopita nilijiunga na kifururushi cha Cheka kupiga mitandao yote cha mwezi 1 sh 15000 lkn Kila nikawa nikipiga cm naambiwa salio kwenye CM yk halitoshi.Nikapiga customer care zaidi ya Mara 3 wakaniambia "tatizo lako tunalishughulikia" lkn nikakaa mwezi mzima mpk kifururushi kikaisha muda wk bila ttz kuisha. Leo tena jioni hii nikajaribu tena kununua kifururushi cha mwezi mitandao yote cha 10000,nimejaribu kupiga CM tena naambiwa salio langu halitoshi niongeze hela. Jamani nyie Vodacom wizi huu umezidi nimeshindwa kuvumilia nipeni Haki yangu tena nihame kbs na hili limtandao lakisanii.