Wizi airtel.Nipale unapokuta line yako imefungwa na ianatumika na mtu mwingine, ikituma ujumbe wa kuomba pesa kwa watu unaowasiliana nao. Ajabu ukitoa taarifa ofisi za airtel wanafunga namba hiyo, baada ya muda namba hiyo inaendelea na utapeli huo, ukiwauliza wanasema hata wao hawaelewi. Je yawezekana mtu nje ya airtel kutambua namba za watu unao wasiliana nao? :shocked: