Ni vyema pia akafuta baadhi ya idara na wakala wa Serikali ama zingine akaziunganisha kwa pamoja.Pia nashauri angefuta cheo cha Mkuu wa Wilaya ili Wakurugenzi wa Halmashauri wakapewa meno na nguvu zaidi.Sambamba na hili Watendaji wa Vijiji na Mitaa wangelipewa meno na uwezeshaji zaidi kwa kuwa kuanzia kwao ndio Maendeleo yanapatikana...Nakubali kukosolewa.