Salut kwenu great thinkers wa jukwaa hili la JF.
Binafsi hii wizara mpya inayoitwa wizara ya vijana naona lengo lake ni kuwapa nguvu vijana wajinga kama Lucas Mwashambwa waendelee kusifu madudu yanayofanywa na serikali.
Rai yangu kwa vijana wenzangu, tusikubali kabisa kutolewa kwenye relief na cheap propaganda zinazoendelea nchini Wala kuwa excited na hii wizara ya vijana, IPO kwaajili ya kitupumbaza focus yetu ni December 9.
Binafsi hii wizara mpya inayoitwa wizara ya vijana naona lengo lake ni kuwapa nguvu vijana wajinga kama Lucas Mwashambwa waendelee kusifu madudu yanayofanywa na serikali.
Rai yangu kwa vijana wenzangu, tusikubali kabisa kutolewa kwenye relief na cheap propaganda zinazoendelea nchini Wala kuwa excited na hii wizara ya vijana, IPO kwaajili ya kitupumbaza focus yetu ni December 9.