Wizara ya Mambo ya Nje kuweni makini sana Magazeti ya Nje ( hasa ya Mitandaoni ) yanaichafua nchi yetu pamoja na Taasisi zake Nyeti

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,548
108,882
" Tanzania President orders army to buy Cashew nuts " kwa Kiswahili " Rais wa Tanzania aamuru Jeshi Kununua Korosho "

Na taarifa hii imechapichwa na Gazeti la Daily Monitor ( ambalo lina mrengo mkubwa sana wa Upinzani huko nchini Uganda ) la nchini Uganda na ipo pia katika ' online ' yao. Imeleta mjadala mkubwa sana wa Kimantiki na Kihoja huko nchini Uganda na Rais wetu ameanza Kutafsiriwa vibaya na Waganda ' wamefunguka ' mno.

Nawaombeni Wizara husika na hata Mabalozi hebu muwe mnafanya Kazi zenu kwa umakini na kuwahi kutoa ufafanuzi kwa hizi ' Media ' za nje ili zisiwe zinaandika kwa ' Kupotosha ' na kuzidi ' Kutuharibia ' Watanzania.

Nawasilisha.
 
Huyu ndugu haya ndio maisha aliyoyachagua.

Subirini kuona uwekezaji utakavyoporomoka na hata biashara nazo kushuka.

Kwenye madini tumeshaharibu, sasa tumehamia kwenye mazao ya biashara na chakula huku wafanyabiashara nao tunasikia wanatukimbia,wahisani nao wanaanza kututenga; n.k.

Ndani ya miaka miwili au mitatu ijayo, tutakuwa hatubishani tena kuhusu hali ya uchumi wetu, bali tutakuwa tunaulizana na kulaumiana tumefikaje hape na nani katufikisha hapa na sisi kwa ujumla tulichukua hatua gani.

Aidha, atafika mahali atajikuta anashindwa kuendesha serikali. Dr.Mapngo teyari kakiri serikali imeshindwa kutekeleza mpango wake kutokana na mapato kushuka.

Maisha yakizidi kuwa magumu; wananchi, wakiwemo wale waliolala usingizi, wataanza kumska mchawi na wakimbaini, basi awe tayari kupokea matokeo.
 
Hiyo habari ina upotoshaji gani? Au lugha iliyotumika ndo tatizo? Au mjadala ulioibuka baada ya hiyo habari kutoka ndio tatizo? Unataka mabalozi wafanye nini? Wamkataze JPM kuliamuru jeshi kuchukua korosho au wawakataze wananchi wa huko ku debate on the issue?.......by the way maneno yako ya kwenye mabano nimeyaelewa
 
Kwanini kutumia Jeshi kwenye mambo ya kiraia???
Mambo mengine mnajitakia wenyewe.
migodini Jeshi,
Koroshow Jeshi,
wakuu wa Mikoa Jeshi
wakuu wa Wilaya Wilaya Jeshi.
mkipinduliwa msije lalamika sheenzi!
ndomana jamii ya kimataifa inawaona madikteta.
 
Serikali ikubali kutoa hela kuajiri international PR company, kuna coordinated plan za kumchafua Magu, kuna wakubwa wa dunia wameshikwa pabaya iwe Acacia au oil & gas companies. Ubaya zaidi wanawatumia watz wenzetu katika harakati zao hizi, historia itaandikwa vyema baadhi ya wanasiasa wa Tz walitumika na mabeberu kuichafua Tz.
Cc Zitto
 
" Tanzania President orders army to buy Cashew nuts " kwa Kiswahili " Rais wa Tanzania aamuru Jeshi Kununua Korosho "

Na taarifa hii imechapichwa na Gazeti la Daily Monitor ( ambalo lina mrengo mkubwa sana wa Upinzani huko nchini Uganda ) la nchini Uganda na ipo pia katika ' online ' yao. Imeleta mjadala mkubwa sana wa Kimantiki na Kihoja huko nchini Uganda na Rais wetu ameanza Kutafsiriwa vibaya na Waganda ' wamefunguka ' mno.

Nawaombeni Wizara husika na hata Mabalozi hebu muwe mnafanya Kazi zenu kwa umakini na kuwahi kutoa ufafanuzi kwa hizi ' Media ' za nje ili zisiwe zinaandika kwa ' Kupotosha ' na kuzidi ' Kutuharibia ' Watanzania.

Nawasilisha.
Tukifanya viroja watavijua na ni haki yao kutusema kadri wapendavyo, kama hatutaki watuseme, tuache viroja! Period.
 
AR in the building. Mashudu matupu. Rwanda inakuhusu mwaka huu GENTA

Huwa ' unanichokoza ' mwenyewe halafu nikikujibu ' shombo / vibaya ' unakimbilia Kulialia na kuomba ' mbeleko ' kwa ' Wanafiki ' wenzako waanze Kukuonea huruma na wanilaumu Mimi. Endelea tu ila usije ukanilaumu kwani akili zangu nazijua mwenyewe na nakuona unavyojijaza katika ' Frame ' taratibu.
 
Serikali ikubali kutoa hela kuajiri international PR company, kuna coordinated plan za kumchafua Magu, kuna wakubwa wa dunia wameshikwa pabaya iwe Acacia au oil & gas companies. Ubaya zaidi wanawatumia watz wenzetu katika harakati zao hizi, historia itaandikwa vyema baadhi ya wanasiasa wa Tz walitumika na mabeberu kuichafua Tz.
Cc Zitto

Hata hapa nyumbani kama sio hiyo media clamp down pasingetosha, watu wangefunguka mpaka basi labda mtu angejinyonga! Lakini je ukikataza watu kuongea, je utaweza kuwakataza kufikiri na kupanga?! Tafakari.
 
Mleta mada nini kilichopotoshwa hapa? uko vzr kichwani kweli? wahi tiba kwani uendako ni kubaya.

Bao lililotumika Kukuandaa Tumboni miezi Kenda hadi ukaja leo hii hapa duniani lilikuwa na mchanganyiko wa Funza wa Chooni, Mbegu za Bangi na Chembechembe za Mavi ya Mwendawazimu.
 
Hata hapa nyumbani kama sio hiyo media clamp down pasingetosha, watu wangefunguka mpaka basi labda mtu angejinyonga! Lakini je ukikataza watu kuongea, je utaweza kuwakataza kufikiri na kupanga?! Tafakari.
Kufikiri kila mtu ana uhuru wa kufikiria upuuzi wowote, cha muhimu huo upuuzi usiwa athiri wa Tz wengine. Ukiangalia mambo mengi yanayo andikwa ya kumchafua Magu yanakua story ya upande mmoja, watakuambia GoT inawashambulia mashoga, haitasema GoT imekanusha. Sasa ni jukumu la serikali kuhakikisha kanusho lao linafika mbali kama vile ile habari ya kwanza. Na hapo kiungo pekee wa kufanya hiyo kazi ni kampuni ya kimataifa ya PR.
 
Serikali ikubali kutoa hela kuajiri international PR company, kuna coordinated plan za kumchafua Magu, kuna wakubwa wa dunia wameshikwa pabaya iwe Acacia au oil & gas companies. Ubaya zaidi wanawatumia watz wenzetu katika harakati zao hizi, historia itaandikwa vyema baadhi ya wanasiasa wa Tz walitumika na mabeberu kuichafua Tz.
Cc Zitto
Kwahiyo mnafanya mambo ya kizwazwa wakati mnajua kabisa ni ya kizwazwa.

Maana mimi nilitegemea mshangilie mambo yenu kujulikana kimataifa, kumbe mnafanya upupu halafu hamtaki yeyote ajue ?
 
Watoe maelezo sahihi Ili kutoa hofu ya wawekezaji maana itakula kwetu kiuchumi. Na hao mabalozi wakizembea hawajatimiza majukumu yao
Hiyo habari ina upotoshaji gani? Au lugha iliyotumika ndo tatizo? Au mjadala ulioibuka baada ya hiyo habari kutoka ndio tatizo? Unataka mabalozi wafanye nini? Wamkataze JPM kuliamuru jeshi kuchukua korosho au wawakataze wananchi wa huko ku debate on the issue?.......by the way maneno yako ya kwenye mabano nimeyaelewa
 
Kufikiri kila mtu ana uhuru wa kufikiria upuuzi wowote, cha muhimu huo upuuzi usiwa athiri wa Tz wengine. Ukiangalia mambo mengi yanayo andikwa ya kumchafua Magu yanakua story ya upande mmoja, watakuambia GoT inawashambulia mashoga, haitasema GoT imekanusha. Sasa ni jukumu la serikali kuhakikisha kanusho lao linafika mbali kama vile ile habari ya kwanza. Na hapo kiungo pekee wa kufanya hiyo kazi ni kampuni ya kimataifa ya PR.

Why did it happen in the first place?! Tunavuna tulichopanda ili tutengeneze mfumo wa serikali unaofanya kazi kama mfumo kwa maana ya system; sio mparaganyiko tunaoushuhudia sasa, matamko left, right and center, kila mmoja anafyatuka la kwake kutengeneza kick; we are bound to be gobbled by the international news outlets!
 
Back
Top Bottom