Wizara ya maliasili na utalii..

Wizara ya maliasili na utalii..

sexologist

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2010
Posts
2,276
Reaction score
976
Ni jambo la ajabu sana,
ndani ya miaka minane wizara hii imeongozwa na mawaziri watano, huyu anayetoka anakuwa wa sita..

Tatizo la utendaji mbovu wa mawaziri sio wao (individually) bali ni mifumo mibovu ya kiutendaji wanayoikuta hapo wizarani.. Ambayo inamgusa kuanzia mfagiaji mpaka waziri mwenyewe...

Na MM (Muhusika Mkuu) ni Rais, wakati MM1 (Muhusika Mkuu namba msaidizi) ni Waziri mkuu!

Nawasilisha..
 
Hebu tuorodheshe majina yao manake wengine hatuwafahamu
 
Tamka tuu wazi mfumo wenyewe mbovu ni ccm ndio Tatizo kubwa ukiondoa ccm umepunguza Tatizo maramoja
 
Ni jambo la ajabu sana,
ndani ya miaka minane wizara hii imeongozwa na mawaziri watano, huyu anayetoka anakuwa wa sita..

Tatizo la utendaji mbovu wa mawaziri sio wao (individually) bali ni mifumo mibovu ya kiutendaji wanayoikuta hapo wizarani.. Ambayo inamgusa kuanzia mfagiaji mpaka waziri mwenyewe...

Na MM (Muhusika Mkuu) ni Rais, wakati MM1 (Muhusika Mkuu namba msaidizi) ni Waziri mkuu!

Nawasilisha..
Ukiona hivo ujue ulaji ni mkubwa sehemu hiyo maana mti wenye maembe yaliyowiva ndiyo unaotupiwa mawe
 
Kila mtungua embe lazima aangalie juu!
Kama mwembe dume utakuwa ni kivuli na makazi ya watoto ktk michezo!
Ukishakuwa na matunda tuu utatupiwa mawe utapandwa na kila mtu hata vichaa!
Hayo ndo yanajili ktk wizara zenye ulaji kila jicho la fisadi ni hapohapo!
Mbona hawatolea macho uku kwenye choka mbaya Elimu!Au wizara ya Watoto Jinsia na maendeleo ya Jamii!!,??
 
Back
Top Bottom