Ujana siyo hoja, watafutwe watu makini ndio hoja......mbona vijana tunao wanaongoza wizara mbalimbali lakini wabovu kabisa kama Masha kimeo, Dk H.Mwi nyi kimeo pia ....wengi tu vijana wabovu....tutafute viongozi bora tuache utoto huo wa kusema kijana ndie anafaa akili za kina JK hizo utoto tu..