Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
Kwa mtazamo wangu matatizo yote yanayotokea katika idara za serekali na za mashirika ya
umma yanatokana na uongozi usiokuwa makini katika kufuatilia maslahi ya wafanyakazi makazini.ukweli huu sasa umejirizisha,baada ya Rais kutoa shutuma nzito kwa TUCTA na Mr Mgaya ambaye ni Mtendaji tu katika chama cha wafanyakazi 350000 wa serekali na kadhaa wa mashirka ya umma na binafsi.
umma yanatokana na uongozi usiokuwa makini katika kufuatilia maslahi ya wafanyakazi makazini.ukweli huu sasa umejirizisha,baada ya Rais kutoa shutuma nzito kwa TUCTA na Mr Mgaya ambaye ni Mtendaji tu katika chama cha wafanyakazi 350000 wa serekali na kadhaa wa mashirka ya umma na binafsi.