wizara ya elimu wasisome hii

wizara ya elimu wasisome hii

blix 2

New Member
Joined
Feb 14, 2013
Posts
3
Reaction score
2
hv hawa jamaa kila cku kutoa majina nusu nusu manake nn jaman kuturusha roho kwa nn wasikamilishe kila ki2 then wayaweke kwa pamoja badala ya kuweka nusunusu tena wakichanganya na majina ya wale waliopangiwa kweny batch za mwanzo
 
hv hawa jamaa kila cku kutoa
majina nusu nusu manake nn jaman kuturusha roho kwa nn wasikamilishe
kila ki2 then wayaweke kwa pamoja badala ya kuweka nusunusu tena
wakichanganya na majina ya wale waliopangiwa kweny batch za
mwanzo

hawa wakina elimu hawana kitu vichwani. Sisi tunawadai malimbikizo ya
mishahara nikiwa nimepanda cheo fast time, second time na sasa nimepanda
cheo tena, cha ajab wanatoa majina matatu, mara manne nawadai
malimbikizo yngu. Cna pakuanzia, eti wanawapa malimbikiwa walm wapya. ss hawatutaki, na mtatukosa wa;/=>< wakubwa
 
Back
Top Bottom