wagagagigikoko
Senior Member
- Dec 5, 2010
- 163
- 49
hivi wizara ya elimu mnataka mpka mkoa wa mbeya uwe wa mwisho ndio mchukue hatua dhidi ya reo huyu mzinzi na mbabe? Huyu gwaride limemshinda tuondoleeni . Kaupokea mkoa ukiwa kwenye top 5 sasa nafasi ya 15 hafai