wizara ya elimu imeoza

Rjohn

JF-Expert Member
Feb 28, 2012
613
128
Hakika ninayoyaeleza hapa yananitoka moyoni tena ndani ya moyo unaoumia namadudu yanayoendelea kutokea katika wizara nyet/mama ya elimu,
Katika taifa lolote ambalo linahitaji maendeleo yakweli hapa duniani mapinduzi huanza na sekta hii, Mara nyingi hapa kwetu madudu mengi yamekuwa yakiikumba wizara hii, najiuliza tatizo ni waziri anayehusika au mfumo wa nchi yetu kutoeleweka vizuri?
Tangu enzi za #mh_MAKWETA , #J_MUNGAI , M_SITTA, Mh_MAGHEMBE na sasa #M_SHUKURU KAWAMBWA kadili muda unavyosonga ndi mambo yanazidi kuwa mabaya KILA MTU NISHAHIDI KATIKA HILO
Nathamini sana makongamano na mijadala mbalimbali inayoendeshwa na wasomi wetu na taasisi mbalimbali hapa tz yenye lengo lakuonyesha sababu zinazopelekea poor perfomance na pia solution za kutatua matatizo hayo .....
Hapo napata tena swali hivi waziri mwenyezamana hivi huwa hayamfikii au huwa ana yapuuza...?
Je Raisi wetu mpendwa haoni kama hili nitatizo tena kubwa.....? kwanini hafanyi maamuzi? BRN imeshafeli kabla hata haijawa aplied maeneo yote
 
Kwanini waziri asijiuzulu kwa haya madudu kila miaka? Mbona wizara nyingine wanafanya hivyo....?
 
Waziri ajiuzuru halafu ujenzi uanzie chini hususani lugha ya kiingereza ianzie primary kutumika kwan ndio tatizo kubwa.
 
Hii BRN yenyewe haijapangiwa fungu, hivo basi kuna mambo mengine yanahitaji fungu la fedha lakini inashindikana, mitihani iliyoandaliwa mwaka jana kama utekelezaji wa BRN haikuwa na ubora, ilikuwa na mapungufu kibao, mfano hesabu za kirumi kwa drs la tano wanatakiwa kujua mpaka mia moja [c], cha kushangaza waliambiwa waandike elfu moja na mianane kwa kirumi, je mitihani inaandaliwa kwa kufuata mitaala ya nchi yetu ama nchi nyingine, hakika kwa machache niliyoyaona hili ni anguko la BRN. huu mchango nilioutoa ni mimi ni mdau wa elimu.
 
Hii nchi imefariki ukisema imekufa utakuwa umekosea maana utakuwa huna uchungu
 
kiukweli haya yanawezekana tz peke yake walimu wanadharauliwa......!
 
Hivi malimbikizo ya walimu yanalipwa lini? Eti BRN wakati walimu wanalia na haki zao kila siku huu ni umbulula ulio pindukia it is absurd to hope for a soup while cooking an empty pot CRAZY!!!!!!
 
Back
Top Bottom