Wizara ya elimu boresheni mtaala elimu ya msingi

Wizara ya elimu boresheni mtaala elimu ya msingi

VAPS

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2012
Posts
5,611
Reaction score
13,175
Mbali ya kusoma na kuandika somo la afya, usalama binafsi na pahala pa kazi na ujasilia mali lipewe nafasi kubwa.

Itasaidia kupunguza maradhi, uelewa mpana mapema zana ya ujasiliamali.

Binafsi nimejifunza usalama pahala pa kazi ukubwani kiwanda cha saruji.

Leo hii barakoa inaonekana kitu cha ajabu tunashikiwa akili na viongozi?
 
Kwa sasa mzee wetu anataka somo la historia ya Tanzania lifundishwe mashuleni na vyuoni kote ili kuimarisha Uzalendo!

Labda baada ya hapo, tutarudi kukusikiliza.
 
Tanzania ni nchi ya kijuha ,tunaongozwa na mfalme juha.Elimu ipo kwa ajili ya vizazi vyetu ili viweze kuchanganua mazingira wanayoishi na kuyafanyia kazi ili wapate mafanikio.Lakini sisi watanzania hatusemi lolote kuhusu hii elimu na wala hatufanyi lolote tunabaki kuongelea pembeni.Hatuwezi kutoka hapa tulipo mpaka tujitambue.
 
Kun vitu vingi san vya ajabu Elimu tumeifanya siasa mfano unatoa tamko mahakam zianze kutumia lugha ya Kiswahili ukija kwenye vyuo mwanachuo wa shahada ya sheria amesoma kingereza mpaka wanahitimu wakimaliza wanakuta mahakama zinatumia Kiswahili ata kuwa mahiri vip huyu mtu lugha ndio msingi wa Elimu Kama tumeamua iwe Kiswahili kiwe Kiswahili tu kuanzia msingi mpaka chuo kama ni kingereza kiwe kingereza tu msingi mpaka chuo watoto wetu wanasoma st kayumba watoto wao je tena wanatumia mitaala ya Cambridge na Oxford
 
Kwani mahakamani ni mahali pa waliosomea sheria au ni mahali pa mimi na wewe kupata haki?

Kun vitu vingi san vya ajabu Elimu tumeifanya siasa mfano unatoa tamko mahakam zianze kutumia lugha ya Kiswahili ukija kwenye vyuo mwanachuo wa shahada ya sheria amesoma kingereza mpaka wanahitimu wakimaliza wanakuta mahakama zinatumia Kiswahili ata kuwa mahiri vip huyu mtu lugha ndio msingi wa Elimu Kama tumeamua iwe Kiswahili kiwe Kiswahili tu kuanzia msingi mpaka chuo kama ni kingereza kiwe kingereza tu msingi mpaka chuo watoto wetu wanasoma st kayumba watoto wao je tena wanatumia mitaala ya Cambridge na Oxford
 
Kwani mahakamani ni mahali pa waliosomea sheria au ni mahali pa mimi na wewe kupata haki?
Mimi na wewe na hao wanaozitafsiri sheria je bila wao kuzitafsiri mimi na wewe amabao hatujui itakuwaje ikiwa mwenye taaluma yake amesha changanyiwa lugha mbili hoja ya msingi niliotaka tuangalie kabla ya kumfikia mwananchi wa kawaida ambaye rais kwa nia nzuri tu ametoa wito mahakama zitumie Kiswahili hoja yangu ipo kwenye msingi wa hawa wataalamu wapikwe kuanzia chini na lugha moja sio unakuja kubadilisha kwenye sehemu ya mwisho ya mlaji
 
hiyo wizara ya hovyo mtoto wa darasa la 3 wa umri wa miaka 8 asoma masomo 10 stupid.
 
Back
Top Bottom