Wizara ya Afya: Taarifa kwa umma kuhusu ugonjwa wa homa ya Dengue

Kama wewe hukuumwa shukuru Mungu, pia muombe na hii Ebola isikatize nchini kwetu maana Watanzania walivyo mazezeta watu wataangamia kama kuku wenye kideri...
 
KAKA unaweza usiamini lakini ni kweli kuna mch.anaitwa mchungaji gwajima niliiingia YOUTUBE nikaona crip yake anakemea serikali anaiambia iache uhuni wa kuwaibia wanachi pesa kwa kusingizia Dengue yaani aliongea kweli we GOogle GWAJIMA DENGUE YOU TUBE
 
Tunaomba mtuwie radhi ndugu watanzania nyote mnaotufuatilia dili zetu, bado viongozi wetu wakuu wanaendelea kutafuta fedha za uchaguzi mwaka ujao 2015...
photo.jpg
 
Walipiga million mia sita, hizo ndio zilitangazwa hadharani
 
Tunaomba mtuwie radhi ndugu watanzania nyote mnaotufuatilia dili zetu, bado viongozi wetu wakuu wanaendelea kutafuta fedha za uchaguzi mwaka ujao 2015...
photo.jpg

Wezi tu ccm. Raisi kiwete alipata kura milioni tatu tu km watu wa temeke na ilala tu. Ndio maana mwizi sn, ma wanawe na ccm wote.
 
kwani mnapokomaa na makatiba yenu na maserikali yenu matatu mnataka sie tufanyeje,hamuoni serikali sasa mambo hayaendi na kwanini tusibuni mkakati mpya wa liugonjwa la hatari walau liwapoteze akiri zenu kwa mda ama hiyo nayo hamtaki bandugu batanzania?
 
Hahahaha tanzania nchi zaid ya uijuavyo sasa hiv wamehamia kwa debola na media zote zitahamia kwa ebola wanaacha mambo ya msingi
 
KAKA unaweza usiamini lakini ni kweli kuna mch.anaitwa mchungaji gwajima niliiingia YOUTUBE nikaona crip yake anakemea serikali anaiambia iache uhuni wa kuwaibia wanachi pesa kwa kusingizia Dengue yaani aliongea kweli we GOogle GWAJIMA DENGUE YOU TUBE

Hakuwa Gwajima alikuwa mchungaji mwingine. Gwajima alikuwa kwa Flora Mbasha wakati huo.
 
nadhani tulipaswa kuipongeza serekali kwa kukabiliana vema na Dengue, tatizo letu watz tumekuwa na negativity kwa kila jambo. sijui tulitaka watu waendelee kufa ndio ingekuwa poa?
panapostahili pongezi tutoe na panapostahili kukemea tukemee.
 
Ugonjwa huu ulitanganzwa kwa namna ya pekee,hasa viongozi wetu wa serikali na baadhi ya Madaktari wetu.

Na tulisikia kuwa uliua Watanzania wenzetu. Swali langu,huu ugonjwa umeishia wapi?.

Kwa nini hawajatuambia dawa waliotumia kuutokomeza maana tunashukuru kama wameutokomeza kabisa.

Wasipotuambia tunaibua maswali mengi mojawapo ni au lilikuwa ni dili tu.

Maana kuna semina nyingi yawezekana zilifanywa na wizara ya afya.

Na inawezekana kabisa serikali ilitoa fungu kubwa. Je, hizo pesa zilienda wapi kama fungu lilitoka?

Hivi unaelewa nini unaposikia 'Magonjwa ya mlipuko'? Hukuwahi kusikia Ebola ilikuwa Congo na ikaua watu wengi tu? Jiulize na hiyo ilienda wapi, au walipata dawa?
 
Back
Top Bottom